Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,418
- 7,734
Habari wakuu,
Kuna uwezekano mtu akahaki taarifa za mawasiliano ya simu ya mkononi hata kama ukireset simu na kuondoa app zote za kudownload pamoja na email na bado akaendelea kupata taarifa za anaedukuliwa?
Naombeni msaada wakuu, maana nahisi nadukuliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna uwezekano mtu akahaki taarifa za mawasiliano ya simu ya mkononi hata kama ukireset simu na kuondoa app zote za kudownload pamoja na email na bado akaendelea kupata taarifa za anaedukuliwa?
Naombeni msaada wakuu, maana nahisi nadukuliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app