Msaada wa kublock namba ya simu inayonisumbua

Msaada wa kublock namba ya simu inayonisumbua

MSWATI III

Member
Joined
Nov 16, 2010
Posts
90
Reaction score
63
Za weekend waheshimiwa. Kuna mtu ananisumbua sana kwa kunipigia simu mara kibao. Yaani anaweza nipigia hata mara 100 kwa siku. nmejaribu kumkataza lakini haelewi. Nilijaribu kuomba msaada kutoka kwa kampuni ya simu husika wakasema nitoe tarifa polisi. Kabla sijaenda polisi, naombeni msaada kama kuna mtu anafahamu jinsi ya kublock namba sumbufu anisaidie. Enjoy your weekend!
 
Za weekend waheshimiwa. Kuna mtu ananisumbua sana kwa kunipigia simu mara kibao. Yaani anaweza nipigia hata mara 100 kwa siku. nmejaribu kumkataza lakini haelewi. Nilijaribu kuomba msaada kutoka kwa kampuni ya simu husika wakasema nitoe tarifa polisi. Kabla sijaenda polisi, naombeni msaada kama kuna mtu anafahamu jinsi ya kublock namba sumbufu anisaidie. Enjoy your weekend!

madd kwenye black list the msikilizie tena
 
Za weekend waheshimiwa. Kuna mtu ananisumbua sana kwa kunipigia simu mara kibao. Yaani anaweza nipigia hata mara 100 kwa siku. nmejaribu kumkataza lakini haelewi. Nilijaribu kuomba msaada kutoka kwa kampuni ya simu husika wakasema nitoe tarifa polisi. Kabla sijaenda polisi, naombeni msaada kama kuna mtu anafahamu jinsi ya kublock namba sumbufu anisaidie. Enjoy your weekend!

This is very simple my brother,though it depends on ur mobile phone kama ina option ya ' set as a reject number ' au kama alivyo suggest huyo hapo juu 'black list' so click hapo then add the number in the reject list na kero yote itakwisha. Kila akipiga atakuwa anaambiwa user busy finaly atakata tamaa. By theway,ni mtu unaemjua? Umeshajaribu kumcall back kujua kama ni wrong number au la? Usikute anaujumbe muhumu kwako mkuu kabla hujakimbilia kuireject...
 
kama nokia ina ina free app kwa iyo function ukiend ovistore ila kama other smartphone fuata wakuu waliosema hapo juu
 
Nashukuru sana wadau kwa msaada wenu, simu yangu haina hizo options za blacklist/reject number.
 
Simu yangu ni LG P500 android. Nmepata msaada kutoka kwa mdau mwingine wa ku-install blacklist app, nmejaribu na imekubali.
 
Ungia google play search for "blocker" chagua inayokufaa yenye at least 4stars ktk review.
 
Back
Top Bottom