John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,342
CENSORED!!!!
Am xor . Rudi kwenye mada.Arusha gani wanaandika xorry?
sema kijiji unachotokea
Wewe ni mdada?Mbona unaomba kubebwa kwa nyodo ivo!!
Nah! Only girls.Njoo nikubebe,mimi ni dume,nina nafasi nyumbani kwangu,
Unaweza kuishi na dada yako one rum?Kwanini unasema wakaka am sorry kwani tunapungikiwa nini tusipokubeba?
Tena una bahati sana, mm ninavyo wapenda watoto wa A-Town, ondoa shaka, njo PMMimi ni mdada nimepata chuo hapo ustawi.
Xaxa natafuta mdada au mwenyeji hapo dsm.
Nimeshindwa kulipia hosteli ila pesa ya kula haitanipiga chenga.
Nashukuru!
Ambaye anaweza kunibeba ni lazima awe mdada. (Wakaka am xorry)
Natokea Arusha.
So pm me nitakupa my namba.
Thenkx.Ushauri tu. Ustawi hostel ni chache, wengi wanachofanya ni kupanga nyumba mtaaani, hivyo tafuta mwenzako muwe wa2 au hata zaidi mkapange mtaani. Madalali wapo.
Unataka nixeme mimi ni demu?mxiuHakuna mwanamke atakayejitambulisha MIMI NI MDADA.....Matoto ya O-level yakishajua terminologies za chuo yanakuja kutusumbua humu
Wewe ni mdada?hii staiili ya wadada kuseek attention hapa ili mtongozwe imekua too much sasa..
peleka huukoo...Wewe ni mdada?
Asee we jamaa niaje?Akubebe nani na Fistula yako?Si ajabu wewe ni miongoni mwa wanafunzi hewa and surprisingly umefaulu mtihani maana huna adabu za kike wala kitanzania.