Msaada wa kubadili font kwenye simu za android

posi

Member
Aug 3, 2018
65
26
Wakuu Naomba Mwenye kujua jinsi ya kubadili maandishi (font) kwenye sim msaada tafadhari anisaidie nisharoot sim tayari.
 
Ili smartphone yako iwe na font unayoitaka wewe, lazima utumie app.
App rahisi kuliko zote ni iFont.
Kubadili font, fuata hatua zifuatazo:
1: Download app ya iFont, halafu iinstall.
2: Download na install font unayoitaka, yaani andika jina la font unayotaka ikifuatiwa na neno .ttf
Hapo utakuwa umemamliza.
N.B.
Kudownload font unayoitaka, inabidi uijue hiyp font inaitwaje.
Kujua majina ya fonts mbalimbali, ingia google images tafuta neno 'font style', hapo utaona majina ya fonts mbalimbali zikiwemo unazozipenda
 
Ili smartphone yako iwe na font unayoitaka wewe, lazima utumie app.
App rahisi kuliko zote ni iFont.
Kubadilo font, fuata hatua zifuatazo:
1: Download app ya iFont, halafu iinstall.
2: Download na install font unayoitaka, yaani andika jina la font unayotaka ikifuatiwa na neno .ttf
Hapo utakuwa umemamliza.
N.B.
Kudownload font unayoitaka, inabidi uijue hiyp font inaitwaje.
Kujua majina ya fonts mbalimbali, ingia google images tafuta neno 'font style', hapo utaona majina ya fonts mbalimbali zikiwemo unazozipenda
Kwa hiyo alikuwa hana haja ya kuroot simu mkuu?
 
Hapana ifont lazima simu iwe rooted
Labda ni aina ya simu na simu, au brand na brand. Mimi natumia Samsung, huwa nabadili fonts kwa kutumia hiyo app ya iFont bila kuroot simu, na sijaroot simu yangu mpaka leo.
 
Labda ni aina ya simu na simu, au brand na brand. Mimi natumia Samsung
, huwa nabadili fonts kwa kutumia hiyo app ya iFont bila kuroot simu, na sijaroot simu yangu mpaka leo.
Ni kweli kabsa mkuu samsung ina font nzur sana ila unaweza kuongeza font kwwnye simu ya Samsung
 
Back
Top Bottom