MAGRETH MBUNGANI Member Joined May 12, 2016 Posts 9 Reaction score 1 May 12, 2016 #1 Swali langu, mimi nina diploma ya IT. Nataka kuapply 2016/2017 Bachelor, mbona NACTE hawajaweka list ya vyuo vyote. Kwa hiyo hivo visivyowekwa hatuviombi? Na je naweza nikasoma faculty ya education katika IT? Tafadhali naombeni msaada wa haya plz.
Swali langu, mimi nina diploma ya IT. Nataka kuapply 2016/2017 Bachelor, mbona NACTE hawajaweka list ya vyuo vyote. Kwa hiyo hivo visivyowekwa hatuviombi? Na je naweza nikasoma faculty ya education katika IT? Tafadhali naombeni msaada wa haya plz.