buyoya419
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 554
- 416
Habari zenu
Nimefikilia kuanzisha biashara itakayoniongezea kipato mawazo yangu yamefikia nifungue sallon ya kiume tu nimuweke mtu mimi huku niendelee na kishe nyingine.
Sasa msaada wangu ni huu nijipange kwa bei gani ili ninunue vifaa vyote vya saloon na hivyo vifaa ni vipi hasa vya kuanza navyo.
saloon itakuwa mtaani tu sio kubwa sana.
Nimefikilia kuanzisha biashara itakayoniongezea kipato mawazo yangu yamefikia nifungue sallon ya kiume tu nimuweke mtu mimi huku niendelee na kishe nyingine.
Sasa msaada wangu ni huu nijipange kwa bei gani ili ninunue vifaa vyote vya saloon na hivyo vifaa ni vipi hasa vya kuanza navyo.
saloon itakuwa mtaani tu sio kubwa sana.