Msaada wa kuacha punyeto

JIBU
Kwanza wapaswa kuichukia moyoni kelikweli, nakuamua kujipenda kwanza kwelikweli. Tunajua sex drive ndio stimuli ya namba moja ya matendo kwa mwanadamu hivyo wapaswa kuihamishia kwenye mahusiano salama na mwanamke sahihi. Pia hakikisha upendo unatawala ili isikuingize kwenye stimuli kama anger, jealousy and fear. Hukiona mahusiano sio sawa kwako kwa sasa hamishia hii stimuli kwenye mazoezi ya viungo kama gym.

Pili usikae mwenyewe kama una lala ghetto mwenyewe tafuta rafiki au ndugu mkae pamoja. "The empty mind is workshop of evil".

Tatu jiweke mbali na marafiki wanao penda kuzungumzia ngono kila mara. Acha kuaangalia picha za ngono na videos.

Jiweke mbali na vichochezi vya ngono.

Mwisho oa ikiwa wakindhi vigezo vya ndoa. Kumbuka kufanya ibada.
 
Siku mbili mbona mapema sanaa yani hata ingekuwa mwezi..
 
Unapiga puri kwa siku,kwa week kwa mwenzi au kila siku mara ngap?
 
Yaani umefaidi weeeh! Umechoka! Leo hii eti ndiyo unaamua sasa kuwashauri wenzako nao waache! Ningekuwa kijana aisee huu ushauri wako nisingeukubali.
 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…