Msaada wa kuacha punyeto

Kukojowa chini ya dakika kumi ndio kawaida kaka. Kwani wee unataka bao ulitafuta nusu saa nzima
 
Inatakiwa niache nikiwa na umri gani...?
 
Nashkuru sana mkuu nimekuelewa
 
Ukifanya mapenzi huchukui zadi ya dakika 10, lakini wakati huo huo huna hamu ya kufanya mapenzi..!!!??? MBONA KAMA UNAJIPINGA?
 
Kimsingi kuacha Nyeto inawezekana kabisa lakini usidanganywe saaaana, fanya haya..
1.Epuka kukaa peke yako hasa kulala chumbani mchana
2.Pendelea kutumia muda mwing/wote kushirikiana na vijana wenzio katika Mazoezi na shughur zingine za michezo
3.Usikate tamaa jaribu anza kwa kupunguza idadi ya upigaj mwisho utaacha kabisa, na ukianguka ukarudia jipe nafasi nyingine rudia mtihani
3.Tafuta Kadem asee, Mbadala wa nyeto ni Mpenz na uwe mpenz mtumiaji siyo mpenzi mtazamaj, Na umeet nae angalau 3 times per week.

#Tafuta Kadem, Ukipata vingi itasaidia zaidi ili kuepuka zile Oooh Mama alinambia nioshe vyombo.
 
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€angalau mara moja kwa week
 
1.Kwanza kabisa futa picha zote za uchi kwenye simu yako ,2. acha kuangalia movie zenye maudhui ya ngono,3.Mwombe Mungu sanaa(pray hard)4.Fanya mazoezi 5.Acha kusema hi nyeto ni ya mwisho hakunaga kitu kama hcho huyo n shetani anakushauri hvyo mwisho kabisa mcheki @drdaudi wilson on instagram,atakusaidia sanaaa hakika utakuja kunishukuru sana NB:KILL PORN BEFORE IT KILL YOU.
 
Nyeto ni muhimu Sana pia ni mbaya sana. Jichunguze kwanza kwamba upo upande upi.

Binafsi nipo upande ambao nyeto naona ni ya muhimu (naenda zero, once or twice per week). Kama upo single na huna uhakika wa kupata papuchi kwa mwezi hata mara 3 tu, piga nyeto Mzee.
 
Khaaaii, Uhakika wa kupata..... Unaukosaje a real man angalau kwa mwez? Timba Shelly ya usiku acha ubwege
 
Gawa 0719, utaacha tu
 
Endelea kuchovyachovya hilo buyu la asali mwishowe ubaki na mzinga mkavu 😁

Usione nakucheka ila elewa msaada unao mwenyewe ndani yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…