Kukojowa chini ya dakika kumi ndio kawaida kaka. Kwani wee unataka bao ulitafuta nusu saa nzimaHabari Wana jf Mimi Ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 24 nikiwa na umri wa miaka 19 niliingia katika mkumbo wa kupiga punyeto nikajikuta nimezama humo Hadi sasa huku nikifikiri kua ndio njia sahihi yakutokufanya zinaa sasa umri unakwenda tatizo kubwa nililo nalo siwez kumtongoza kwanamke,Sina ham ya tendo landoa,nikifanya mapenzi sichukui muda hata wa dk10 tayari nimemwaga MSAADA TAFADHALI
Nashkuru sana mkuu nimekuelewaHuu upuuzi nilishauacha mara baada ya kuona hasari zake.
Kiukweli punyeto inahasara nyingi sana kuliko faida hasa ukizingatia.
*Inavuruguga akili yaani mambo ya kupoteza kumbukumbu ni kawaida sana kwa muhanga wa mchezo huu.
*Kupoteza umakini na kushindwa kujiamini.
*Kubwa zaidi inaharibu mfumo mzima wa uzazi kwa mwanaume.
Kwa ufuupi tu ni mchezo mchafu sana ambao haufai kuigwa wala kufanyika.
-Nirejee kwenye mada.
*Jiepushe kuangalia picha za ngono.
*Fanya mazoezi ili kujiamarisha na kujiweka buzy.
Mwisho kabisa, mrejee Muumba wako kwa sala na toba naimani atakuvusha juu ya hili.
Kila la kheri mkuu.
π π πMbona unataka kuacha punyeto katika umri mdogo kiasi hicho? Miaka 24?
Ukifanya mapenzi huchukui zadi ya dakika 10, lakini wakati huo huo huna hamu ya kufanya mapenzi..!!!??? MBONA KAMA UNAJIPINGA?Habari Wana JF mimi Ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 24 nikiwa na umri wa miaka 19 niliingia katika mkumbo wa kupiga punyeto nikajikuta nimezama humo hadi sasa huku nikifikiri kuwa ndio njia sahihi ya kutokufanya zinaa sasa umri unakwenda tatizo kubwa nililonalo siwezi kumtongoza mwanamke, Sina hamu ya tendo la ndoa, nikifanya mapenzi sichukui muda hata wa dk 10 tayari nimemwaga MSAADA TAFADHALI
Dah..!!!Mbona unataka kuacha punyeto katika umri mdogo kiasi hicho? Miaka 24?
Daaa asee kweli wewe MSAGA SUMU, unataka kutuulia kijana aliejisalimishaMbona unataka kuacha punyeto katika umri mdogo kiasi hicho? Miaka 24?
Kimsingi kuacha Nyeto inawezekana kabisa lakini usidanganywe saaaana, fanya haya..Habari Wana JF mimi Ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 24 nikiwa na umri wa miaka 19 niliingia katika mkumbo wa kupiga punyeto nikajikuta nimezama humo hadi sasa huku nikifikiri kuwa ndio njia sahihi ya kutokufanya zinaa sasa umri unakwenda tatizo kubwa nililonalo siwezi kumtongoza mwanamke, Sina hamu ya tendo la ndoa, nikifanya mapenzi sichukui muda hata wa dk 10 tayari nimemwaga MSAADA TAFADHALI
π π πangalau mara moja kwa weekKuacha punyeto kunatoka moyoni na wala sio ishu ya mazoezi, ubize nk. Kama hujaamua kuacha utajiiba ha choo cha kazini upige nyeto.
We jiambie tu kuanzia leo sitopiga, maneno yatoke moyoji kabisa kua umwacha, acha kuangalia porn au kama una account insta,whatsapp au telegram inayokushawish kufanya ivo jitoe kote huko.
Ila kama huwezi kabisa basi walau piga mara 1 kwa wiki na sio kila siku.
1.Kwanza kabisa futa picha zote za uchi kwenye simu yako ,2. acha kuangalia movie zenye maudhui ya ngono,3.Mwombe Mungu sanaa(pray hard)4.Fanya mazoezi 5.Acha kusema hi nyeto ni ya mwisho hakunaga kitu kama hcho huyo n shetani anakushauri hvyo mwisho kabisa mcheki @drdaudi wilson on instagram,atakusaidia sanaaa hakika utakuja kunishukuru sana NB:KILL PORN BEFORE IT KILL YOU.Habari Wana JF mimi Ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 24 nikiwa na umri wa miaka 19 niliingia katika mkumbo wa kupiga punyeto nikajikuta nimezama humo hadi sasa huku nikifikiri kuwa ndio njia sahihi ya kutokufanya zinaa sasa umri unakwenda tatizo kubwa nililonalo siwezi kumtongoza mwanamke, Sina hamu ya tendo la ndoa, nikifanya mapenzi sichukui muda hata wa dk 10 tayari nimemwaga MSAADA TAFADHALI
Eeh mkuu wazungu wanakwambia "if you can't defeat them, join them".π π πangalau mara moja kwa week
Khaaaii, Uhakika wa kupata..... Unaukosaje a real man angalau kwa mwez? Timba Shelly ya usiku acha ubwegeNyeto ni muhimu Sana pia ni mbaya sana. Jichunguze kwanza kwamba upo upande upi.
Binafsi nipo upande ambao nyeto naona ni ya muhimu (naenda zero, once or twice per week). Kama upo single na huna uhakika wa kupata papuchi kwa mwezi hata mara 3 tu, piga nyeto Mzee.
Gawa 0719, utaacha tuHabari Wana JF mimi Ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 24 nikiwa na umri wa miaka 19 niliingia katika mkumbo wa kupiga punyeto nikajikuta nimezama humo hadi sasa huku nikifikiri kuwa ndio njia sahihi ya kutokufanya zinaa sasa umri unakwenda tatizo kubwa nililonalo siwezi kumtongoza mwanamke, Sina hamu ya tendo la ndoa, nikifanya mapenzi sichukui muda hata wa dk 10 tayari nimemwaga MSAADA TAFADHALI
Fuata huu ushauri utanishukuruAcha kuangalia Video za ngono