dullavirux
Member
- Sep 11, 2016
- 38
- 8
Jaman naomben mnisaidie kila nikitaka kufanya second round inaonyesha nimesha apply but profile haina chuo hata kimoja, naombeni msaada wana TCU.
Inaleta hvyohvyo.Jaribu mahali walipoandika make 2nd round hapo patakupeleka kwenye vyuo ,kisha uvichague
Natuma pm lakn inagoma hamn means nyngne nkutumie data unisaidieNi Pm na data zako fasta
Dah mkuu asante sanaRudi mwanzo walipoandika dear applicant, mkono wa kulia kuna sehemu wameandika edit info, bonyeza utaona chin mkono wa kushoto kuna sehem imeandikwa validate information bonyeza itarudi kule kule mwanzo apo bonyeza make second round uendelee
Poa ucjaliDah mkuu asante sana
Yan jamaa poleJaman naomben mnisaidie kila nikitaka kufanya second round inaonyesha nimesha apply but profile haina chuo hata kimoja, naombeni msaada wana TCU.