msaada wa kiufundi

Bizzly

Member
Joined
May 3, 2010
Posts
79
Reaction score
26
wana jf wenzangu gari yangu suzuki escudo automatic imekuwa ikiflash/blink taa ya over drive kila ninapopunguza mwendo au kupandisha kilima. ikisha changanya mwendo taa inazimika. je tatizo hili linaweza kuwa ni nini na nitalitatua vipi? mafundi wawili wamesha shindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…