lyalya
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 601
- 551
Kwa wale wenye uelewa na simu au iPad za kampuni ya apple naomba Msaada.
Niko naweka iOS mpya kwenye iPad ya apple kwa kutumia program ya 3u tools ila nimekwama kwenda kwenye UFD Mode naomba mwenye uelewa na hili anisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko naweka iOS mpya kwenye iPad ya apple kwa kutumia program ya 3u tools ila nimekwama kwenda kwenye UFD Mode naomba mwenye uelewa na hili anisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app