Msaada wa Kiufundi kuezeka nyumba

bujaganoni

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
561
Reaction score
453
Habari ya mchana wadau wa JamiiForums.

Naomba kusaidiwa kwa anayefahamu, kuna nyumba yenye urefu wa 15m kwa 16m inatakiwa kuezekwa kwa bati za msouth, Gharama yake ya kuezeka inaweza kuwa kiasi gani.

Ahsanteni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…