bujaganoni
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 561
- 452
Habari ya mchana wadau wa JamiiForums.
Naomba kusaidiwa kwa anayefahamu, kuna nyumba yenye urefu wa 15m kwa 16m inatakiwa kuezekwa kwa bati za msouth, Gharama yake ya kuezeka inaweza kuwa kiasi gani.
Ahsanteni!
Naomba kusaidiwa kwa anayefahamu, kuna nyumba yenye urefu wa 15m kwa 16m inatakiwa kuezekwa kwa bati za msouth, Gharama yake ya kuezeka inaweza kuwa kiasi gani.
Ahsanteni!