Nzi Chuma
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 468
- 1,142
Habari wakuu,
Tatizo ni la muda mrefu kidogo.. tangu 2020, ninakojoa sana muda wa asubuhi kabla ya saa 5 nakuwa nishakojoa zaidi ya mara tatu.. na usiku naweza kuamka hata mara 7, mchana huwa si saana lakini kuanzia saa 5 hadi saa 12 jioni nitakojoa si chini ya mara 5.
Hii ni ikiwa nitakunywa maji kawaida, kama nikinywa maji mengi, mfano usiku, ninaweza kukojoa, punde baada ya kukojoa nikaumwa tena na mkojo nikakojoa tena.
Hakuna maumivu yoyote ninayopata wakati wa kukojoa, na hata kama mkojo utapishana dakika moja tu kuniuma tena, nitakojoa mkojo mwingi sana kama mwanzo tu.
Nilishapiga mpaka ultrasound kuangalia figo nikaambiwa ziko sawa..U.T.I nimeambiwa hakuna. Sielewi tatizo hasa ni nini?
Msaada tafadhali.
Tatizo ni la muda mrefu kidogo.. tangu 2020, ninakojoa sana muda wa asubuhi kabla ya saa 5 nakuwa nishakojoa zaidi ya mara tatu.. na usiku naweza kuamka hata mara 7, mchana huwa si saana lakini kuanzia saa 5 hadi saa 12 jioni nitakojoa si chini ya mara 5.
Hii ni ikiwa nitakunywa maji kawaida, kama nikinywa maji mengi, mfano usiku, ninaweza kukojoa, punde baada ya kukojoa nikaumwa tena na mkojo nikakojoa tena.
Hakuna maumivu yoyote ninayopata wakati wa kukojoa, na hata kama mkojo utapishana dakika moja tu kuniuma tena, nitakojoa mkojo mwingi sana kama mwanzo tu.
Nilishapiga mpaka ultrasound kuangalia figo nikaambiwa ziko sawa..U.T.I nimeambiwa hakuna. Sielewi tatizo hasa ni nini?
Msaada tafadhali.