Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,225
- 232
Waheshimiwa naomba ushauri wenu/jina la dawa. Niliugua chickenpox last yr lakini baada ya kupona nimebaki na scars ambazo zimeharibu sura ya ngozi yangu na zinatisha ukiona. Niko serious na jambo hili naomba ushauri au endapo kuna dawa ya kutibu scars nijulisheni niitumie.