bintishomvi
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 1,164
- 831
Nilienda kwenye eneo langu nimekuta jiwe langu wamelitoa nalietoa ameweka nguzo yake ya geti na anaendelea na ujenzi.
Nimeenda serikali ya mtaa wamenipa barua ya nipeleke kwa mjumbe na amkabidhi mlengwa ili tukutane tuyaongee sasa naomba msaada wa kisheria ya hardhi hapo inafafanua nini kwa kilicho tokea?
Na maamuzi niliochukua nipo sahihi? Naombeni ushauri wakuu.
Nimeenda serikali ya mtaa wamenipa barua ya nipeleke kwa mjumbe na amkabidhi mlengwa ili tukutane tuyaongee sasa naomba msaada wa kisheria ya hardhi hapo inafafanua nini kwa kilicho tokea?
Na maamuzi niliochukua nipo sahihi? Naombeni ushauri wakuu.