Mkuu jifunze kuwa sensitive kwenye masuala yanayohusu pesa yako kwa maelezo yako tu uliyakanyaga tokea mwanzo pale bank Y ilipoendelea kukata hicho kiasi cha 1.4M ch marejesho kilichobaki, maana swali la msingi ni je, ulienda ofisini kwao mkpiga hesabu na loan officer wako na kijiridhisha kiasi wanachokidai au ulipiga kimya tu wajichotee wanavyotaka