kuna haki inaitwa riparian right...hii inamuwezesha mmiliki wa ardhi aliye pakana na vyanzo vya maji kama mto kuwa na haki ya kutumia maji hayo..lakini matumiz haya yasiwaathir watumiaji wengine.sheria ya mazingira ya Tanzania inahusika.kwa msaada zaidi tuwasiliane ..0655626005
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.