Kama ndoa inahatarisha maisha bora ife. ila kuwa makini kaka usiwe chanzo cha kuvunja ndoa ya dada yako.
Ishu ni kumpa mtaji huyo bidada?
Yes ndugu yangu. Unajua unapokuwa na ndugu ambaye unajua anaweza kutafuta hela ila anakatazwa na watu inauma sana. Ndugu yako ni ndugu yako tuu hata kama anaishi kwa watu wengine.
Take this too; your husband is not your relative. he is only your best friend and can change any time.
Point of correction, my husband is my enemy...
Whaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaat????!!!!!
Inaonyesha kabisa kuwa mkimpa mtaji huyo ndugu yenu, mume wake atakuja kuharibu tu baadae, pengine anaweza fanya lolote mkawa kama mmetupa pesa. Mi ninachoona, kwanza hao wanandoa wapelekwe kwenye mabaraza ya usuluhishi huyo mume akaseme kinachomfanya yeye kufanya maamuzi ya ajabu ajabu... akitulia na kukubali mkewe kufanya kazi ni heri ila akiendelea na tabia zake unatafuta solution mbadala...
Point of correction, my husband is my enemy...
nashukuru kwa ushauri, tulichofikiria ni kumpa mtaji na kumfungulia account yake ya benki. unajua imefika hatua wanaishi kulea watoto mambo mengi hawashirikiani. lakini ndio hivyo jamaa wanaona kumkomoa ni kumuweka awe anakaa nyumbani.
ila hapo mwisho umenitisha aisee!!! kumbe mnatuviziaga tuu!!
kwa situation kama hiyo ya mpwa wangu ungekuwa ulishasepa saa mingi inaonesha!! wakati mwingine hata enemies huwa wanavumiliana.