Mku hbr.Habari za siku mbili tatu na poleni kwa msiba wa Bw. Mbele na wapendwa wetu wengine, ni jambo la kuhuzunisha sana.
Nimesoma ujumbe wa Bush na kuona kwamba anahitaji faraja na msaada wa KISAIKOLOJIA, tukimwacha hivyo haitakuwa sawa.
Mtu anapopatwa na msiba au jambo kubwa la kushtua anapitia hatua kadhaa ikiwemo:
1. Mshtuko (shock) wengine wanaweza kuzirai hata kupoteza maisha;
2. Kukataa (denial), "Sio kweli, wamekosea, sio yeye, amelala tu ataamka)
3. Hasira (anga), why me? Km ni VVU hapa mtu huambukiza wengine kwa makusudi (tufe wengi)
4. Woga (nina VVU nitakufa, fulani nitaishije bila yy)
5. Kujitenga (kujinyanyapaa) (hataki kuchangamana akidhaini wanamesema au wanamcheka)
6. Kubembeleza (bargaining) (Mungu ukimrudisha au ukiniepusha na hilo nita...) Hapa wengi hukimbilia kwa watoa faraja kama za kiroho
7. Kukubali hali au kuishi kwa matumani. Hapa mhusika anakubali kwamba yamekuwa na hakuna jinsi zaidi ya kukubali na kuendelea na maisha.
Kauli za mdogo na rafiki yangu Bush, "Bora niache kazi" na nyinginezo zinaaahiria kwamba yupo kwenye hatua mojawapo kati ya hizo.
Kuwa kwenye hatua ya kwanza hadi ya tano kimaweza kuleta madhara kwa mfusika au mtu/watu wengine.
Jukumu la mtaalamu ni kumsaidia mhusika kuvuka kutoka hatua moja hadi nyingine mpaka kuishi kwa matumaini.
Japo nitaongea na Bush, nashauri nyie MAAFISA UTAWALA, wenye dhamana ya ustawi wa wale mnaotuongoza mwendelee na juhudi za kumsaidia mwenzetu na sote tunaohitaji msaada wa kitaalamu wa kuvuka katika vipindi vya "GREEFING" au majonzi.
Kwa yeyote atakayehitaji msaada tuwasiliane nomwongoze kuhusu upatikaji wa huduma hiyo.
Nipo mtaani nashangashangaa maisha.
Mku usishangae kwani Mtu apotafuta jibu la swala lake kuna kuangaika kwingi.OSHA?
Imekula kwako mzee kama ulitegemea kumpa ushauri sahau maisha yako yote.Sasa mtu kama Bush anayejidai anajua kila kitu, utampa ushauri gani ?
No soldier. don't hold ua fire, don't hold ua fire...match forward ..martch forward....attack.