Anko Elly
Member
- Feb 22, 2017
- 69
- 70
Wajuvi wa mambo ni matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea kulisongesha gurudumu la maisha. Binafsi namshukuru Mwenyezi Mungu kuwa ni mzima na naendelea vizuri pamoja na familia yangu.
Penye wengi kuna mengi, nahitaji kufahamu kwamba kama naweza kufunga ving'amuzi viwili(2) yaani Startimes na Dstv kwenye Tv moja na nikawa nachagua kama nataka kuangalia vipindi kutoka startimes au nikabadili kuangalia vya Dstv.
Pia kutakuwa na ulazima wa kufunga ma-dish mawili au dish moja linaweza kutosha kufanikisha mchakato huu mzima.
Kwa wale wenye ujuzi wa hii naomba msaada wenu.
Nawasilisha
Penye wengi kuna mengi, nahitaji kufahamu kwamba kama naweza kufunga ving'amuzi viwili(2) yaani Startimes na Dstv kwenye Tv moja na nikawa nachagua kama nataka kuangalia vipindi kutoka startimes au nikabadili kuangalia vya Dstv.
Pia kutakuwa na ulazima wa kufunga ma-dish mawili au dish moja linaweza kutosha kufanikisha mchakato huu mzima.
Kwa wale wenye ujuzi wa hii naomba msaada wenu.
Nawasilisha