Fab....sio kwamba sijafanya uchunguzi....tena baadhi yao nimeshawaona katika ile tokatoka yetu, na utakuta anawaponda jinsi walivyo.....na sasa huyo mmoja ambaye ni mume wa mtu ndie anachat naye kila saa....mpaka majina nayajua....huyu rafiki yake ametulia, anamtu wake, tena anachotaka ni kumuona huyu rafiki yake ampate mtu wa kutulia naye....maana siku zinakwenda....