Elijah Maliondo
Member
- Oct 21, 2010
- 13
- 0
....Nimetokea kumhusudu...tunafanya naye mazoezi kila w/end.....pia tunajumuika katika mitoko mbalimbali....ni msichana mrembo, kaumbika, anakazi yake na msomi.... lakini nashindwa kumuingia sababu nimedokezwa na rafiki yake anayemfahamu kwamba hana msimamo wa kimapenzi, hajatulia....anawanaume tofauti ikiwemo waume za watu na bado anajipendekeza niwe naye.....sasa sielewi anachotaka ni nini maishani....anaonyesha anapenda awe na mtu wake atulie maishani, lakini nawasiwasi kama anaweza kuhimili ups and downs za maisha bila kumtegemea mtu.....mpaka inanipelekea ku-conclude kwamba huenda anatafuta mtu ambaye atamtoa kimaisha, anapenda kulelewa kuliko kutafuta chake mwenyewe kwa kujigonga kwa wanaume wanaoweza kumhonga....hivi jamani kuwa na mtu kama huyu maishani si mzigo....maana sidhani kama atakuwa na uaminifu, ikitokea shida atakimbilia kwa wanaume badala ya kusimama na ku-fight na mmoja ampendaye.....
naombeni ushauri wenu...nimpe somo la maisha huenda atabadilika...au nimshit tu nimwache kama alivyo tubaki tuwe marafiki.....maana miaka inaenda kwa binti mzuri kama huyu...atababaika na wanaume na wasimfanyie chochote cha maana....akifikisha miaka 35 ndo uzee unakuja alafu hujapiga hatua yoyote hamna mwanaume atakayetaka kuwa naye tena....
naombeni ushauri wenu...nimpe somo la maisha huenda atabadilika...au nimshit tu nimwache kama alivyo tubaki tuwe marafiki.....maana miaka inaenda kwa binti mzuri kama huyu...atababaika na wanaume na wasimfanyie chochote cha maana....akifikisha miaka 35 ndo uzee unakuja alafu hujapiga hatua yoyote hamna mwanaume atakayetaka kuwa naye tena....