mactal
Member
- Nov 14, 2016
- 72
- 103
Habari wakuu.. Mimi kijana wa kiume umri early 30's.Naombeni mwenye kazi yeyote halali alieko dodoma mjini anisaidie,
Naweza kufanya kazi zinazohitaji kutumia nguvu au hata inayohitaji elimu ya darasani elimu bach.degree tourism vilevile computer technician with huge experience..nipo tayari kwa malipo yeyote ili mradi nipate kitu cha kunisaidia ku-survive pia kuni keep busy na pengine kunisaidia kupiga hatua,,sijakata tamaa lakini nahisi maisha yameamua kunifanya sample
Inbox yangu iko wazi mda wote karibu sana wenye connection yeyote...natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa
Naweza kufanya kazi zinazohitaji kutumia nguvu au hata inayohitaji elimu ya darasani elimu bach.degree tourism vilevile computer technician with huge experience..nipo tayari kwa malipo yeyote ili mradi nipate kitu cha kunisaidia ku-survive pia kuni keep busy na pengine kunisaidia kupiga hatua,,sijakata tamaa lakini nahisi maisha yameamua kunifanya sample
Inbox yangu iko wazi mda wote karibu sana wenye connection yeyote...natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa