Msaada wa kazi za usafi ofisini

Msaada wa kazi za usafi ofisini

eng. kipande

Member
Joined
Mar 28, 2015
Posts
32
Reaction score
3
Salamu wapendwa, jamani kama kuna yeyote mwenye kampuni au connection ya kazi za usafi ofisini, kuuza duka nk. kuna sister zangu wawili wako wanaishi Banana-Dsm wanahuitaji sana na kazi.

Natanguliza shukrani, unaweza niPM au 0654907899 or 0684055370 nikuunganishe nao.
 
Jaribu kwenda sincro site watch,hii kampuni IPO mikocheni kwa mwalimu,Luna Bangor linaloelekeza ilipo,peleka CV yako pale
 
Back
Top Bottom