Msaada wa kadi na bendera za CHADEMA

Msaada wa kadi na bendera za CHADEMA

Chama kikubwa lakini tatizo la bendera ni kubwa, cuf pamoja na kufa kote huko bado ni matajiri wa bendera, hayo mapesa yanakwemda wapi?harambee zote sadoba ndesapesa,dhahiri mnatuangusha tuitishe harambee ya bendera jama tunatia aibu mpaka matawi hatuna na huku yapo lakini wakuja kuyafungua haonekani tatizo ni wasomi.
 
Chama kikubwa lakini tatizo la bendera ni kubwa, cuf pamoja na kufa kote huko bado ni matajiri wa bendera, hayo mapesa yanakwemda wapi?harambee zote sadoba ndesapesa,dhahiri mnatuangusha tuitishe harambee ya bendera jama tunatia aibu mpaka matawi hatuna na huku yapo lakini wakuja kuyafungua haonekani tatizo ni wasomi.
 
katika kijiji cha nyamwage wilaya ya rufiji, kijiji hiki kipo barabara ya kuelekea lindi, na ile round about ya kuelekea ofisini kwa dc utete mkoa wa pwani.
Kadi zipatazo 150 na bendera za chadema kama 50 hivi zinahitajika.
Kijana ajulikanaye kwa jina la pawasa pale nyamwage ndiye mhamasishaji wa cdm.
Hawana uongozi ila ameandikisha wanachama kama 100 hivi, anaomba msaada huo.

Nilikutana naye na kuzungumza kidogo ndipo alipo nijulisha shahuku yake ya moyo hiyo jana.
Tafadhali kama ni hapo makao makuu ya chadema niiteni nije nichukue kadi hizo na bendera,kama ni hapa kibaha mkoani naomba msaada huo.
Namba za pawasa 0718382967na namba yangu mimi ni 0754966964, nipo kibaha.


umeambiwa inayopiga kura ni kadi au bendera . Au pawasa pale nyamwage anataka pesa za harambee za m4c . Watu wameeacha kuchanga baada ya kunyimwa mapato na matumizi,
 
Back
Top Bottom