VALENCE MUGANDA
Member
- Dec 1, 2012
- 53
- 2
nisaidieni jinsi ya kutumia hiyo rog maana inanisumbua sana
nisaidieni jinsi ya kutumia hiyo rog maana inanisumbua sana
Xp inapiga kazi mkuu, lazima uwe na net framework 3.1 na kuendelea, oh na iwe xp sp3.kama una win 7 updated mpaka win 7 sp1.... kama unatumia win xp sahau haifanyi kazi... kama unatumia win 8 lazima itafanya .. mi natumia!
Inasumbua nin..nisaidieni jinsi ya kutumia hiyo rog maana inanisumbua sana