Kama kichwa cha habari kinavo jieleza, nina shida na bettry ya iphone 5s mpya na bora ya kununua kwa ajili ya sim yangu kwa maduka ya Dar naweza pata wapi au delers wa apple kwa Dar wanapatikana wapi.
Kama kichwa cha habari kinavo jieleza, nina shida na bettry ya iphone 5s mpya na bora ya kununua kwa ajili ya sim yangu kwa maduka ya Dar naweza pata wapi au delers wa apple kwa Dar wanapatikana wapi.
Dealer anapatikana JM Mall mtaa wa Samora ilipokuwa Shoprite zamani. Kuna dealer nadhani anaitwa Elite Computers, ila jipange na wallet yako. Anatoa guarantee ya kazi yake....
Dealer anapatikana JM Mall mtaa wa Samora ilipokuwa Shoprite zamani. Kuna dealer nadhani anaitwa Elite Computers, ila jipange na wallet yako. Anatoa guarantee ya kazi yake....