JaffarMohammed
JF-Expert Member
- Nov 13, 2016
- 762
- 283
- Thread starter
-
- #281
The word "Muslim" means one who submits to the will of God. The first principle of Islam is known as theShahaadah(Testimony of Faith), and is as follows:"There is no one worthy of worship except Allah (God) and Muhammad is the Final Apostle (Messenger) of God.”Islam Translate Button
[is-lahm, iz-, is-luh m, iz-]
noun
1.
the religious faith of Muslims, based on the words and religious system founded by the prophet Muhammad and taught by the Koran, the basic principle of which is absolute submission to a unique and personal god, Allah.
..This is the definition of Islam ndugu,islam sio Hali ya submission kama unavosema wewe its a Religion
Marehemu alinunua shamba? Nani ambae anauelewa mdogo sasa [emoji23]..Mkuu kama hujaelewa Hilo fungu mpka sa Hizi wewe ndo una tatizo Maana Yake nishaielezea kinagaubaga sasa If ur Gonna stick to ur Understanding uliopewa na watu wasiojua Biblia endelea ILA am sorry to dissapoint you najua ulihisi Hilo Fungu haileweki nenda wakuambie Jingine [emoji23]
na Fungu HALISEMI ULICHOANDIKA WEWE
..Hamna kitu unachoelewa au utakachoelewa kuhusu biblia mkuu,ur debating hutafuti understanding let me save My energy and useful body resources kufanya mambo mengine Ya muhimuMarehemu alinunua shamba? Nani ambae anauelewa mdogo sasa [emoji23]
Maandiko yanasema wazi Yuda alinunua shamba. Wewe unasema makuhani walinunua baada ya yeye kufa..
Hapo umechemsha.[emoji23] [emoji23]
Swali jingine kuhusu Yuda.
Yuda alikufa Lini? Siku yesu aliposulubiwa au alikaa kaa kwanza akanunua shamba akaendelea kula starehe?
Kama fungu halisema nilichoandika mimi hebu liweke hapa walione. Tena weka kwa kiswahili na kiingereza ili usije kudanganya kwamba kwa kiswahili wamefanya errors [emoji23]..Mkuu kama hujaelewa Hilo fungu mpka sa Hizi wewe ndo una tatizo Maana Yake nishaielezea kinagaubaga sasa If ur Gonna stick to ur Understanding uliopewa na watu wasiojua Biblia endelea ILA am sorry to dissapoint you najua ulihisi Hilo Fungu haileweki nenda wakuambie Jingine [emoji23]
na Fungu HALISEMI ULICHOANDIKA WEWE kuna alama pale kuonyesha hakuanguka hapo hapo wakati aliponunua shamba
Hivi huelewi nilichokuuliza?? Ama unafanya kusudi kukwepa swali?kama unabisha hapo, vipi, inakuwaje kitabu chenu kinatambua kuwa kuna majini mazuri namajini mabaya. vilevile, kwanini meshehe wengi wanauza dawa za kienyeji/waganga wa jadi?au hao vitabu vyenu vinawatambua..
[emoji23]nadhani unajua wazi kabisa unajaribu kutetea upuuzi ambao hauteteeki. Bado hatujamaliza kinoja tu cha Yuda umeshachoka [emoji23] Tumalizie basi hiki halafu siku ukipata mda tuangalie vingine...Hamna kitu unachoelewa au utakachoelewa kuhusu biblia mkuu,ur debating hutafuti understanding let me save My energy and useful body resources kufanya mambo mengine Ya muhimu
We umesema wasabato hawaamini utatu mtakatifu. Kama Estate imeficha maanake wasabato unaowasema wanaamini Utatu mtakatifu ndo maana estate wameficha hayo au vipi.Bibi Ellen G White hakuamini Utatu Mtakatifu.....Ellen G White Estate ilificha nyaraka alizoandika Bi Ellen ambazo alipinga Utatu Mtakatifu akisema Utatu Mtakatifu ni mambo ya Kipagani ya Wakatoliki...
Na hii ndio ilimfanya Joseph Simth kujiondoa SDA na kuanzisha Jehova Witness...
je? eneo linaloonyesha kuna majini mazuri na majini mabaya halipo? jibu swali hilo kwanza usikwepe. kwa kifupi, hauna uwezo wala hadhi ya kuutukana ukristo, kwasababu dini yako hiyo imechafuka kiasi kwamba haihitaji degree kuitambua na kuikimbia. ISIS, BOKO HARAM, AL SHABAB, AL QUAEDA, JIHAD na kulipua raia kwingi ati unapigania mungu, huyo mungu hana nguvu hadi ahitaji wanadamu mumtetee? mmepotea katika shimo refu ambalo ni ngumu kutoka na ni bahati mbaya sana mmezaliwa huko, nuru hamuioni na hata ikimulika hamuitaki.Hivi huelewi nilichokuuliza?? Ama unafanya kusudi kukwepa swali?
Nioneshe wapi katika Quran Mungu karuhusu kufuga majini?
Pili nimekuuliza alimuumba Shetani ji nani?
Ukishindwa nyamaza nenda kapike. Sina mda wa kuelewesha mtu amabae hataki kwenda step by step.
Ohh labda hatujaelewana vizuri.je? eneo linaloonyesha kuna majini mazuri na majini mabaya halipo? jibu swali hilo kwanza usikwepe. kwa kifupi, hauna uwezo wala hadhi ya kuutukana ukristo, kwasababu dini yako hiyo imechafuka kiasi kwamba haihitaji degree kuitambua na kuikimbia. ISIS, BOKO HARAM, AL SHABAB, AL QUAEDA, JIHAD na kulipua raia kwingi ati unapigania mungu, huyo mungu hana nguvu hadi ahitaji wanadamu mumtetee? mmepotea katika shimo refu ambalo ni ngumu kutoka na ni bahati mbaya sana mmezaliwa huko, nuru hamuioni na hata ikimulika hamuitaki.
kama mungu wenu sio wa kumtetea, jihad mnafanya ya nini? mnatetea nini? mnamtetea mood, au alah,na kwanini muwatetee, hawana nguvu hadi muwapiganie?Ohh labda hatujaelewana vizuri.
Ulileta kashfa nyingi sana kuhusu Uislamu.vingi sana ila Moja wapo ni kua Tunaruhusiwa Kufuga Majini.
Nikakwambia usiongee bila proof
So nimekuuliza haya maswali madogo ili nijue ninayejadili nae ni mtu wa kukaririshwa ama ni mtu ambae yuko tayari kueleweshwa.
Tunataka twende polepole ili tuelewane sio kukurupuka na kuleta kashfa ambazo hauzielewi .
Hebu Jibu haya maswali yangu halafu tuendelee usijali ntakuelewesha tu.
1. Lete andiko katika Quran ambalo linaruhusu watu kufuga majini kama ulivyosema.
2. Nipe andiko moja ambalo wewe unahisi ndio wanalotumia hao wanaojiita waislamu kufanya mauaji? Maana kwa taarifa yako mtu ambae mpaka sasa kaua watu wengi kuliko wote ni Mkristo. Anaitwa Hitler. Sasa je tumhukumu hitler kua sababu yeye ni mkristo basi wakristo ni wauaji?
3. Nimeuliza mara nyingi sana lakini hutaki kujibu. ni nani aliumba Shetani na Majini hao wachafu?
4. Mungu wetu sio wa kutetea na wala hatumtetei. Sie tupo hapa kuelimishana tu na wala si kuwa na hasira na jazba kama zako.
Ukiwa na swali lolote uliza usipakazie
Na tumfanye MTU kwa mfano wetu, inamaana hakuwa pekee, Adam sio binadam, binadamu ni wana wa AdamKwani kwa mujibu wa bibilia ni nani binadamu wa kwanza?
Umeshindwa kujibu niliyoyauliza ama?kama mungu wenu sio wa kumtetea, jihad mnafanya ya nini? mnatetea nini? mnamtetea mood, au alah,na kwanini muwatetee, hawana nguvu hadi muwapiganie?
Who was the first Human?Na tumfanye MTU kwa mfano wetu, inamaana hakuwa pekee, Adam sio binadam, binadamu ni wana wa Adam
Nimeandika kiswahili ni vema nawe ukaniuliza kiswahili ili kusitokee mkanganyiko katika majibuWho was the first Human?
Mtu wa kwanza kuumbwa alikua nani?Nimeandika kiswahili ni vema nawe ukaniuliza kiswahili ili kusitokee mkanganyiko katika majibu
wewe hauna uwezo kubishana na mimi kwenye Bible, nakushauri nenda kajilipue tu kama unavyofundishwa na mungu wako asiye na nguvu.ila ukifika huko kusikoonekana utakuja kujilaumu sana kwanini ulifuata imani inayopeleka watu motoni every minute hapa duniani.Umeshindwa kujibu niliyoyauliza ama?
Mbona kila ukiulizwa swali hutaki kujibu?
Jihad kubwakushindana na Nafsi yako,yaani kujizuia na kufanya matendo mabaya na maovu. Jihadi pia ni kupigania haki yako iwapo mtu atakuja kwa makusudi kwako na kutaka kukudhuru. Ila hayo mauaji yanayofanywa sio Jihad. Hao ni watu wanaotumia jina la dini kufanya mambo yao binafsi. Na uovu wao hautambuliki katika dini.
Ila ukitaka kunisonta kidole na mimi kufanya hivyo naweza.
Ngoja nikupe maandiko maana hua napenda kutoa ushahidi sio kama wewe ambae ukakaririshwa na umepandikizwa chuki dhidi ya uislamu
Yesu anasema katika
Luka 19:27
Sasa nileteeni wale maadui zangu ambao hawakutaka mimi niwe mfalme wao; waleteni hapa muwaue mbele yangu.”
Alikua ana maana gani hapo?
Yesu pia anasema katika
Luka 22:36
Naye akawaambia, "Lakini sasa, yule aliye na mfuko wa fedha auchukue; na aliye na mkoba, hali kadhalika. Na yeyote asiye na upanga, auze koti lake anunue mmoja.
Huo upanga ni wa nini?
Kwasababu ni kitabu cha kiroho sio hadithiKwanini biblia ifanywe ngumu kiasi ambacho mpaka upate mafundisho ya waaminio? Kwani Mungu hataki tukaifahamu? Mie kwa upande wangu naona maandiko yako wazi wala hauhitaji mtu akupe ufafanuzi. Vipi kama huyo anaekufa ufafanuzi kakosea? Huoni kua anapotosha wengi?
Jibu swali usitoke povu mbona umeuliza na pia mgumu kuelewa na mwepesi kusahauHaya kaja wa kirukia treni kwa mbele [emoji23] [emoji23] [emoji23] vipi kaka wanaume tunaongea nawe umetokea wapi? Jibu swali halafu ukishajibu nami ntakujibu. Nina maana kubwa kuuliza swali hilo maana mambo mengi aliyokua akisema paulo yanapingana na kauli za Yesu mwenyewe. Kama unalo jibu leta. Kama hauna nendo kwenye jukwaa jipya linaitwa taarabu special.
Nipe andiko linaroniruhusu kujilipua . Kweli siwezi kubishana na wewe sababu mie sio mbishi. Mimi ni mtu nnaependa kutumia ushahidi katika kila ninalosemawewe hauna uwezo kubishana na mimi kwenye Bible, nakushauri nenda kajilipue tu kama unavyofundishwa na mungu wako asiye na nguvu.ila ukifika huko kusikoonekana utakuja kujilaumu sana kwanini ulifuata imani inayopeleka watu motoni every minute hapa duniani.