Msaada wa Hosting Provider kwaajili ya Local websites

Msaada wa Hosting Provider kwaajili ya Local websites

Jimbi

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2010
Posts
4,605
Reaction score
5,185
Wakuu naombeni msaada, nahitaji Webhosting Provider (Bluehost, DreamHost, HostGator etc), anayetoa huduma ya ku host hizi websites zetu za kitanzania pasipo usumbufu.

Yaani Hosting Provider wa .ac.tz, .co.tz, .or.tz n.k

Asanteni.
 
Nunua hosting huko kwa BlueHost/Gator/Etc kisha nunua domain tu kwa registrar wa bongo, sio lazima vyote upate sehemu moja na mara nyingi sio vizuri kununua sehemu moja.

Ningekushauri utumie moja wa acredited registrars na sio middleman tzNIC | Tanzania Network Information Centre - List of registrars
Mkuu sina tatizo na hilo, shida ni hizo domain names za Tanzania (.ac.tz, .co.tz na .or.tz) namna ya kuzi -transfer huko ndio shida.
Ni Hosting provider yupi ambaye hasumbui kuzi -host websites za namna hiyo?
 
Mkuu sina tatizo na hilo, shida ni hizo domain names za Tanzania (.ac.tz, .co.tz na .or.tz) namna ya kuzi -transfer huko ndio shida.
Ni Hosting provider yupi ambaye hasumbui kuzi -host websites za namna hiyo?
Hosting provider hahusiki kabisa na domain na wala hajali ni aina gani, hiyo domain yako utaielekeza katika nameserver za hosting provider so provider yoyote yule atafanya kazi na domain uliyonunua bongo.
 
Hosting provider hahusiki kabisa na domain na wala hajali ni aina gani, hiyo domain yako utaielekeza katika nameserver za hosting provider so provider yoyote yule atafanya kazi na domain uliyonunua bongo.
Mkuu, umeshawahi ku-host websites zenye domain hizo (.ac.tz, .co.tz, .or.tz) Bluehost na kwingineko? Hukupata changamoto yeyote?

Nahitaji hosting provider ambaye hana usumbufu katika ku -host domains za namna hiyo. Bluehost wameshindwa, badala yake uki transfer huko zinakua kama addons tu.
 
wewe si umesema Webhosting Providers. Sasa hayo mambo ya resellers yanatoka wapi?
Mna facility ya namna hii? Bei ikoje?

60GB Storage
Unlimited Bandwidth
Unlimited accounts
WHM/cPanel
 
Mkuu, umeshawahi ku-host websites zenye domain hizo (.ac.tz, .co.tz, .or.tz) Bluehost na kwingineko? Hukupata changamoto yeyote?

Nahitaji hosting provider ambaye hana usumbufu katika ku -host domains za namna hiyo. Bluehost wameshindwa, badala yake uki transfer huko zinakua kama addons tu.

Utakuwa unakosea sehemu haiwezi kuwa na shida. Nielewe tena kuwa hiyo domain hauitransfer kokote unairegister na registrar wa bongo kisha katika settings za nameserver katika huyo registrar wako unaweka nameserver za host wako ambaye anaweza kuwa host yoyote yule.

Labda uende hatua kwa hatua tuelewe ni wapi unakwama.
 
Utakuwa unakosea sehemu haiwezi kuwa na shida. Nielewe tena kuwa hiyo domain hauitransfer kokote unairegister na registrar wa bongo kisha katika settings za nameserver katika huyo registrar wako unaweka nameserver za host wako ambaye anaweza kuwa host yoyote yule.

Labda uende hatua kwa hatua tuelewe ni wapi unakwama.
Mkuu ni akaunti huko Bluehost kwa muda mrefu, inakubali ku-host domains za nje tu (.com, .org etc). Hizi za kwetu kila nikinunua sehemu nyingine na kufanya settings zote hizo, ili ku-transfer bado zinakwama.

Nimefuatilia sana, naambiwa BLUEHOST hai support hizi domains zetu (.ac.tz, .co.tz, .or.tz), ni kweli?

Kama si kweli, unatumia njia gani ku-host hizi domains za ki TZ huko kwenye Bluehost? Bluehost wenyewe hawana msaada.
 
Nunua hosting huko kwa BlueHost/Gator/Etc kisha nunua domain tu kwa registrar wa bongo, sio lazima vyote upate sehemu moja na mara nyingi sio vizuri kununua sehemu moja.

Ningekushauri utumie moja wa acredited registrars na sio middleman https://www.tznic.or.tz/index.php/en/registrars/accredited-registrars

Umemjibu vizuri ndiyo maana nikamwambia kuwa hawa wote bluehost, dreamhost na hostgator wanatoa huduma zote ambazo anazotaka yeye ikiwemo hosting services. Lakini tatizo lake yeye anataka blog/website yake iwe na kiambishi tamati (extension) kama vile ac.tz, .co.tz, .or.tz n.k

Sasa hivyo viambishi tamati (extension) ni swala la domain name ambapo kuna makampuni mengi tu hapa Tanzania wanatoa hizo huduma.
 
Mkuu ni akaunti huko Bluehost kwa muda mrefu, inakubali ku-host domains za nje tu (.com, .org etc). Hizi za kwetu kila nikinunua sehemu nyingine na kufanya settings zote hizo, ili ku-transfer bado zinakwama.
Unafanya transfer ya kitu gani?
 
Unafanya transfer ya kitu gani?
Mkuu, umeshawahi kutumia Bluehost na ku-manage local domains kwa kuzi-transfer huko? Au umeamua kuleta mzaha tu hapa?
 
Haya ndio majibu ya BlueHost kila ninapowasiliana nao, msaada wa Hosting Provider ambaye hana usumbufu Wakuu!

Hello ..........,

Thank you for getting back to us with validation.

Unfortunately, you can not transfer in top level domains for .ac.tz , .co.tz , and .or.tz

However, you can point the A record of the domains to us and host the websites with us.

Please get back to us if you have any questions.

Help us improve our support by answering a quick survey: Bluehost Billing Customer Satisfaction Survey

Thank you,

Sharath
cleardot.gif



Level I Tech Support Engineer
BlueHost.com

Find answers immediately using our online help resources:
Knowledge-base: Help Center - Bluehost
Server Status: http://serverstatus.bluehost.com
User Forum: http://www.bluehostforum.com
 
Mkuu, umeshawahi kutumia Bluehost na ku-manage local domains kwa kuzi-transfer huko? Au umeamua kuleta mzaha tu hapa?
Tatizo lako mbishi hautaki kuelewa. Nishakwambia
Usifanye transfer!
Domain yako inabaki kwa registrar wa bongo unaweka nameserver za bluehost.

Hauhitaji kuitransfer domain kwa bluehost ili uhost site bluehost hosting na domain ni vitu viwili tofauti.

Hata kwenye hayo maelekezo wamekwambia upoint A name kwao.
 
Tatizo lako mbishi hautaki kuelewa. Nishakwambia
Usifanye transfer!
Domain yako inabaki kwa registrar wa bongo unaweka nameserver za bluehost.

Hauhitaji kuitransfer domain kwa bluehost ili uhost site bluehost hosting na domain ni vitu viwili tofauti.

Hata kwenye hayo maelekezo wamekwambia upoint A name kwao.
Mkuu, mteja anahitaji kuhama kwa Host wake wa awali aje kwangu, kwa hiyo nitaishia kuweka Nameserver za Bluehost tu? Kweli?

Na hizo webspace (storage) za 5GB, Bandwith ya 20 GB nilizo muahidi atazipataje sasa? Hahaha
 
Mkuu, mteja anahitaji kuhama kwa Host wake wa awali aje kwangu, kwa hiyo nitaishia kuweka Nameserver za Bluehost tu? Kweli?

Na hizo webspace (storage) za 5GB, Bandwith ya 20 GB nilizo muahidi atazipataje sasa? Hahaha
Jamaa amekuelewesha vizuri sema wewe ni mbishi!!

Ukishakua na doimain name una i point kwenda kwa host ambaye ni bluehost yeye ndiye atakupa facilies zote inluding hizo 20gb.

Domain name itabaki ulipoisajili ila ukisha ipointi kwa bluehost basi wao ndio wat host website yako.
 
Jamaa amekuelewesha vizuri sema wewe ni mbishi!!

Ukishakua na doimain name una i point kwenda kwa host ambaye ni bluehost yeye ndiye atakupa facilies zote inluding hizo 20gb.

Domain name itabaki ulipoisajili ila ukisha ipointi kwa bluehost basi wao ndio wat host website yako.
Mkuu, ninyi ndio hamjanielewa. Tayari ninayo facility (Hosting Account) huko Bluehost, tatizo inagoma ku -support hizi local websites (.ac.tz, .co.tz and .or.tz), ndio maana nikauliza Wataalam hapa, ni Hosting Provider yupi ambaye hasumbui katika hili?
Nadhani umenielewa sasa Mkuu.
 
Back
Top Bottom