Msaada wa HOSTEL T.I.A dsm

Msaada wa HOSTEL T.I.A dsm

Deflakonary

Member
Joined
Aug 17, 2013
Posts
47
Reaction score
3
Habari zenu wakuu.
Bila shaka nyote wazima wa afya.

naomba kuuliza hostel zinapatikanaje je za ndani kuna process gan kuzipata na ni bei gan kwa mwaka au kwa semester?, na za nje je? zipo karibu na chuo au ni mbali sana, naomba anaejua aniPM natanguliza shukran.........
 
Habari zenu wakuu.
Bila shaka nyote wazima wa afya.

naomba kuuliza hostel zinapatikanaje je za ndani kuna process gan kuzipata na ni bei gan kwa mwaka au kwa semester?, na za nje je? zipo karibu na chuo au ni mbali sana, naomba anaejua aniPM natanguliza shukran.........

za ndani nafasi finyu mkuu.
 
Me nimelipia hostel moja ivi ipo kurasini karibu na hicho chuo na ninampango wa kuuza hiyo nafasi so tupia # yako tujue inakuwaje
 
Me nimelipia hostel moja ivi ipo kurasini karibu na hicho chuo na ninampango wa kuuza hiyo nafasi so tupia # yako tujue inakuwaje

Room ni elfu 92 water&electricty inclusive!! Tupia no upate room.
 
Nafasi za hostel ndani zimejaa! Ushachelewa sana. Rushwa hakuna kama alivyochangia mpuuzi mmoja. Idadi ya wanachuo ni kama ime double kwa mwaka huu kutokana na kuanzishwa kwa course mbili mpya. Kilichobaki ni kupanga nje ya chuo tu.
 
Nafasi za hostel ndani zimejaa! Ushachelewa sana. Rushwa hakuna kama alivyochangia mpuuzi mmoja. Idadi ya wanachuo ni kama ime double kwa mwaka huu kutokana na kuanzishwa kwa course mbili mpya. Kilichobaki ni kupanga nje ya chuo tu.

mi naona we ndo mpuuzi nani kachangia kuhusu rushwa humu.
 
Muwe makini et.. Vijana wengi wa kurasini wanajikuta madalali yani unaliwa juu kwa juu bila mwenye jumba kujua
 
zpo hstl 2 kwa boys kmebak chumba k1 na wanakaa wa2 4 na kwa girls vipo 2 ambacho k1 kpo akina wa2 na icho kingine wapo wawili hadi now pesa n 480000 kwa girls na boys n 500000 per year yan maji inclusive but umeme mnachangia maxmum kwa mwezi mnachangia 2000 kla m2 na hostel zote zina wa2 16 na 20 bas mwenye uwezo na anaehitaji anitafute kupitia 0716651694,,,
 
zpo hstl 2 kwa boys kmebak chumba k1 na wanakaa wa2 4 na kwa girls vipo 2 ambacho k1 kpo akina wa2 na icho kingine wapo wawili hadi now pesa n 480000 kwa girls na boys n 500000 per year yan maji inclusive but umeme mnachangia maxmum kwa mwezi mnachangia 2000 kla m2 na hostel zote zina wa2 16 na 20 bas mwenye uwezo na anaehitaji anitafute kupitia 0716651694,,,

poapoa
 
Back
Top Bottom