Habarini.
Nina Lg home theatre ya watts 1000. Ilikua nzima kabisa Kwa kila kitu.
Hasa leo nikataka kujaribu kitu ambacho ni kuunganisha redio na pc kutumia waya wa HDMI.
Kwa kweli matokeo yake ni kama ifuatavyo.
•pc haiku display chochote kutoka kwenye Deki.
•nikawa napata harufu kama ya kuungua kitu.
Baada ya hapo nikachomoa huo waya. Na kuamua kuitumia kama kawaida.
Matokeo yake yakawa kama ifuatavyo.
•upande wa redio ukakataa kurespond.
•spika tatu zenye ukaribu na connection ya HDMI hazitoi sauti, ila nikizibadilishia kwenye pin zingine zinatoa sauti.
msaada kwenu wajuzi, hapo shida yaweza kua ni nini? Walau nijue kabla ya kuchukua hatua zingine mana naamini humu nitapata ufumbuzi wa awali Kwa zaidi ya asilimia 90%.
Nina Lg home theatre ya watts 1000. Ilikua nzima kabisa Kwa kila kitu.
Hasa leo nikataka kujaribu kitu ambacho ni kuunganisha redio na pc kutumia waya wa HDMI.
Kwa kweli matokeo yake ni kama ifuatavyo.
•pc haiku display chochote kutoka kwenye Deki.
•nikawa napata harufu kama ya kuungua kitu.
Baada ya hapo nikachomoa huo waya. Na kuamua kuitumia kama kawaida.
Matokeo yake yakawa kama ifuatavyo.
•upande wa redio ukakataa kurespond.
•spika tatu zenye ukaribu na connection ya HDMI hazitoi sauti, ila nikizibadilishia kwenye pin zingine zinatoa sauti.
msaada kwenu wajuzi, hapo shida yaweza kua ni nini? Walau nijue kabla ya kuchukua hatua zingine mana naamini humu nitapata ufumbuzi wa awali Kwa zaidi ya asilimia 90%.