exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,391
- 4,145
Nsaidien mkewangu ananitesa kimawazo
Kifupi iko hivi kipindi namuoa sku yapili yupo nyumbani nliokota kwenye kimkoba mamba yacm skutaka kumuuliza niliikopi ile mamba nkawanayo tumekaa miaka mi4tunamtoto1
Kilichoniumiza nimekuja kugundua anamawasliano na ile namba maana nmekua mtulivu skunyngi nkaona baadh ya sms kbaya zaidi nliona sms ya muamala aliotuma hela wife kwa hiyo namba nmeipigia kwa namba ngeni nmwanaume anantesa kwakwel naumia nashindwa ata kusema
Mawazo yenu ndo msaada
Imeandikwa
Exalioth
App ya jamiiforms
Kifupi iko hivi kipindi namuoa sku yapili yupo nyumbani nliokota kwenye kimkoba mamba yacm skutaka kumuuliza niliikopi ile mamba nkawanayo tumekaa miaka mi4tunamtoto1
Kilichoniumiza nimekuja kugundua anamawasliano na ile namba maana nmekua mtulivu skunyngi nkaona baadh ya sms kbaya zaidi nliona sms ya muamala aliotuma hela wife kwa hiyo namba nmeipigia kwa namba ngeni nmwanaume anantesa kwakwel naumia nashindwa ata kusema
Mawazo yenu ndo msaada
Imeandikwa
Exalioth
App ya jamiiforms