Msaada wa haraka wakuu

Msaada wa haraka wakuu

mkuu peleka Mtoi hosi ufanye dna test ukiona ni wa kwako. endelea na maisha yako wanawake hawachungiki.sheytani mwenyewe amenyanyua mikono juu.
 
Nsaidien mkewangu ananitesa kimawazo

Kifupi iko hivi kipindi namuoa sku yapili yupo nyumbani nliokota kwenye kimkoba mamba yacm skutaka kumuuliza niliikopi ile mamba nkawanayo tumekaa miaka mi4tunamtoto1

Kilichoniumiza nimekuja kugundua anamawasliano na ile namba maana nmekua mtulivu skunyngi nkaona baadh ya sms kbaya zaidi nliona sms ya muamala aliotuma hela wife kwa hiyo namba nmeipigia kwa namba ngeni nmwanaume anantesa kwakwel naumia nashindwa ata kusema

Mawazo yenu ndo msaada

Imeandikwa
Exalioth
App ya jamiiforms
Mkuu pole Sana
 
Kweli umechanganyikiwa hadi kuandika vizuri kumekushinda. Pole sana, ila ni vyema ukazungumza na mkeo kwanza.
 
Kwa mwandiko huo kweli unahitaji msaada!

Kosa ulofanya ni kurudisha namba kwenye pochi.

Pole Mkuu, mueleze mkeo! Mkanye hiyo tabia yake ukiilea mwisho wake sio mzuri
 
Endeleeni na maisha, hilo katika ndoa haliepukiki. Hata wewe kuna namba ambazo anazitilia shaka lakini ametulia tu.

Kikubwa kaa nae na uongee nae, hiyo namba hata ungechana kikaratas ipo kichwani.

#mwanamke hachungwi
Samahani mkuu
Nipo interested na signature yako
Hivi ni mwanamke hachungwi? au mwanaume hachungwi? au wanandoa hachungwi? au wanandoa wasichungane?
 
Samahani mkuu
Nipo interested na signature yako
Hivi ni mwanamke hachungwi? au mwanaume hachungwi? au wanandoa hachungwi? au wanandoa wasichungane?
"Mwanamke hachungwi" ni kwasababu hawa watu wanamienendo ya siri sana. Yaani unalolijua unaweza kukuta sio kweli, ni rahisi kwa mke kumfuma Mme kuliko Mme kumfuma mke.

Wanaume huwa hatuwezi kubalance upendo, pale tunapokuwa na michepuko lazima mke atashtuka tu. Lakini kwa mwanamke itakuchukua muda sana, ndio maana tunasema mwanamke asichungwe ili maisha yaende.
 
Back
Top Bottom