Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,390
Mkewe anatombea na anamuhonga huyo jamaa,eti yeye hajui la kufanya anaumia tu.
Andika vizuri... Hujaeleweka.
Andika vizuri... Hujaeleweka.
Mkuu pole SanaNsaidien mkewangu ananitesa kimawazo
Kifupi iko hivi kipindi namuoa sku yapili yupo nyumbani nliokota kwenye kimkoba mamba yacm skutaka kumuuliza niliikopi ile mamba nkawanayo tumekaa miaka mi4tunamtoto1
Kilichoniumiza nimekuja kugundua anamawasliano na ile namba maana nmekua mtulivu skunyngi nkaona baadh ya sms kbaya zaidi nliona sms ya muamala aliotuma hela wife kwa hiyo namba nmeipigia kwa namba ngeni nmwanaume anantesa kwakwel naumia nashindwa ata kusema
Mawazo yenu ndo msaada
Imeandikwa
Exalioth
App ya jamiiforms
Samahani mkuuEndeleeni na maisha, hilo katika ndoa haliepukiki. Hata wewe kuna namba ambazo anazitilia shaka lakini ametulia tu.
Kikubwa kaa nae na uongee nae, hiyo namba hata ungechana kikaratas ipo kichwani.
#mwanamke hachungwi
"Mwanamke hachungwi" ni kwasababu hawa watu wanamienendo ya siri sana. Yaani unalolijua unaweza kukuta sio kweli, ni rahisi kwa mke kumfuma Mme kuliko Mme kumfuma mke.Samahani mkuu
Nipo interested na signature yako
Hivi ni mwanamke hachungwi? au mwanaume hachungwi? au wanandoa hachungwi? au wanandoa wasichungane?