usikimbilie windo vista ikikukatalia huna nauli ya kuja marekani ili microsoft inc. sasa ukiona kitu kimetoka subiri wajinga wakimbilie kama i phone sasa hivi nni dola 200 na is more advanced ilipotaka ilikuwa dola 500 bili kwa mwezi dola 1200 kwa mwaka billi dola 12000 hii ni bili ya simu si ungejenga nyumba nyumbani. hichi sio kizazi cha kujisifia bar un i phone au ofisini una laptop those are working tools not priding tools .wake up