Unaingiza reseat wapi mkuu? Nachojua Mimi ukishapata control number, then ukilipia kwa tigopesa, airtel money au mpesa au bank ,hiyo system inafunguka yenyewe,sasa Sikuelewi unavyosema unaweka reseat ya malipo, kwa sababu hakuna sehemu ya kuweka Hiyo reseat. Inshu Kubwa ni kuwa na hiyo control number na namba ya kampuni tu, na hapo juu nimeona vyote hivyo viwili unavyo, sasa sijui unakwama wapi bro?Nipo naaply chuo hapa nashindwa kuverfy malipo natumia simu na risti namba ninayo kila kitu nashindwa pa kuingiza inanifanyia hv
Nifanyeje????View attachment 1177649View attachment 1177650
MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY (MNMA)Alafuhichi chuo sio DIT kweli!?
Tarehe 10 leo nafikiri Saa sita usiku.Mkuu, kwan kuapply chuo deadline ni lini!?
Niligundua mpk wapigiwe cm wafowadiwe msg ya malipoUnaingiza reseat wapi mkuu? Nachojua Mimi ukishapata control number, then ukilipia kwa tigopesa, airtel money au mpesa au bank ,hiyo system inafunguka yenyewe,sasa Sikuelewi unavyosema unaweka reseat ya malipo, kwa sababu hakuna sehemu ya kuweka Hiyo reseat. Inshu Kubwa ni kuwa na hiyo control number na namba ya kampuni tu, na hapo juu nimeona vyote hivyo viwili unavyo, sasa sijui unakwama wapi bro?
Mpato umepatwa Mwalimu nyerere iyo uoni apo MN.......KivukoniAlafuhichi chuo sio DIT kweli!?