- Thread starter
- #21
no research no right to speak!
Smile kuna facts hapa.
no research no right to speak!
Mkuu maneno ya kashfa wakati wa timbwili huwezi kuyazuia manake hata waliokutana kivingine wanapeana hayo rafiki. Kwa upande wangu njia hii sioni kama ina matatizo yoyote kwani ukorofi na kutoleana kashfa inategemea wahusika wanabusara kiwango gani . Wengine walikutana harusini na mahusiano yakaduma na wengine walifuatwa nyumbani kwao na mahusiao ktk ndoa yakawa ndivyo sivyo " si ulinifuata wewe mwenyewe kwetu". Kama ulivyosema ukimuomba Mungu anakupatia alie mwema hata kama ikibidi mtu huyo ukutane nae kwenye ndege au daladala kama Mungu kapitisha ndoa hiyo itakua nzuri tu. Mke/Mume mwema mtu hupewa na BwanaNakubaliana na wewe mkuu, lakini je, hii njia ni sahihi na haiwezi kuleta matatizo hapo baadaye?
Si unajua matimbwili yakianza kwenye mahusiano, dah kauli kama hizi "mtu mwenyewe tumekutana jf, nenda zako"
Sawa mkuu basi ngoja nireserve comment zangu mpaka hapo utakapo weka utafiti wako kamili maana nina mengi ya kuchangia.
Mkuu nasubiri kwa hamu kuchangia mara tu ukimaliza research yakoMkuu methods: 1. Observatory 2. Participatory 3. Self evidence - mfano mtu anasema kwa kweli sitaki kutendwa tena.
Zingine nareserve.
Mkuu maneno ya kashfa wakati wa timbwili huwezi kuyazuia manake hata waliokutana kivingine wanapeana hayo rafiki. Kwa upande wangu njia hii sioni kama ina matatizo yoyote kwani ukorofi na kutoleana kashfa inategemea wahusika wanabusara kiwango gani . Wengine walikutana harusini na mahusiano yakaduma na wengine walifuatwa nyumbani kwao na mahusiao ktk ndoa yakawa ndivyo sivyo " si ulinifuata wewe mwenyewe kwetu". Kama ulivyosema ukimuomba Mungu anakupatia alie mwema hata kama ikibidi mtu huyo ukutane nae kwenye ndege au daladala kama Mungu kapitisha ndoa hiyo itakua nzuri tu. Mke/Mume mwema mtu hupewa na Bwana
Nami ni mgeni kama wewe..nimekuwa nikichungulia kwa zaidi ya miaka miwili lakin nimeona wengine ambao wapo serious endelea na utafiti wako kwa umakini mzuri utagundua...
Ushaurh wako unahitajika mkuu.
Kwa namna ulivyochambua, naona ni kama umewagusa wanawake/wasichana wote...in numbers to be exactly ni 100%
muanza kesi ndie mmaliza kesi mambo ya kuyakoroga huko alafu uanze kujaribu uone mawazo yetu yakoje dogo hapo imekula kwako hii tunaikanyagia ili siku nyingine uje na mawazo yenye akili
mkuu simplicity kuna ndoa humu jf...huwa zinasemekana watu wamekutana humu mpaka kuoana...lakini nikubaliane na wewe ni asilimia ndogo sna ukilinganisha na idadi ya post za kutafuta wenza[/QUOTE
Inawezekana zipo.lakini je, zinakuwa stable hasa ukizingatia nature ya formation ya hizo ndoa?
love is on the air baby.
Mkuu hebu elaborate kidogo.