Madaktari hebu nisaidieni meno yangu yanapukutika sijui kwanini!!
Jino linapukutika tu mwishowe linakatika lenyewe!! Nini tiba..?
Kwa tiba zetu zile za kimeditesheni tunawezaje kuyarejesha hayo madini ya Calcium?Tatizo ni calcium imepungua sana.. Yani una uhaba wa hayo madini
Msaada mkubwa utaupata kwa dentistSijawahi
Kwa tiba zetu zile za kimeditesheni tunawezaje kuyarejesha hayo madini ya Calcium?
Ndio nilimaanisha hizo expert wa kilingeSina ujuzi sana kwenye tiba za kizungu ila hizi mbadala ni vitu vyenye asili ya uchachu nadhani kama ndimu

