Msaada wa Haraka: Lodge au hotel kiluvya

Msaada wa Haraka: Lodge au hotel kiluvya

kinyangesi

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2012
Posts
247
Reaction score
86
Tafadhali ndugu zangu anayejua lodge iliyo maeneo ya kiluvya. Anipe maelekezo ya haraka naomba msaada wenu. Chumba kuanzia elf 40 au hotel ya kuanzia 50
 
Kiluvya ipi? Gogoni, kwa Komba au madukani??
 
Tafadhali ndugu zangu anayejua lodge iliyo maeneo ya kiluvya. Anipe maelekezo ya haraka naomba msaada wenu. Chumba kuanzia elf 40 au hotel ya kuanzia 50

Kuna muhudumu alikuwa anapenda kupiga chabo wateja, sijui kn bado yupo ama kaacha!
 
Back
Top Bottom