Msaada wa haraka kwa mwenye uelewa

Msaada wa haraka kwa mwenye uelewa

empressu

Member
Joined
Jun 25, 2015
Posts
38
Reaction score
1
wakuu nisaidieni niliapply degree kupitia nacte as nina diploma ya medical lab saiz cuhas(bugando)wameshatoa majina n am not in so nisubr mpk kcmc na muhimbili watoe au nireset choices zangu ni chague upya coz deadline ni tar.16/10 plz kwa mwenye uelewa anisaidie hapo
 
Yesterday at 9:18am
National Council for Technical Education
(NACTE)
Hiyo utaitumia endapo utahitajika kubadili
machaguo kama hutopata yale uliochagua.
6 hours ago · Sent from Mobile
 
Yesterday at 9:18am
National Council for Technical Education
(NACTE)
Hiyo utaitumia endapo utahitajika kubadili
machaguo kama hutopata yale uliochagua.
6 hours ago · Sent from Mobile

mbn me celewi my dear kwan ww ulikutaje ?
 
jmn kiukwl nacte wanasumbua sanaa jmn yaan wanatukatisha tamaa
 
Yan n iv wadau kama ukitokea umekosa kuchaguliwa Chuo fulan has unapewa kuondoa ile kpzi au chuo kuchagua choice nyingine ama kwa kozi ileile kW chuo kingine au chuo hichokwa kW kozi nyingine
 
jmn kiukwl nacte wanasumbua sanaa jmn yaan wanatukatisha tamaa


tuombe dua,mm kun mwenzang status inaonyesh keshamaliza kufanya admission chakushangaz asubuhi anaambiwa apload transcript ya diploma
 
Duu yan kweli ni shida..jaman mtandao ushafungwa au wkend hua haupo online?? Msaada plz
 
ntakusumbua bat Pi tia jamii mm Niko igunga tabora niliaply thruu nacte nikichagua vyuo vtano mzumbe.udsm.mzumb mbeya. Tumain dar. Na juco bat nilikuwa na GPA ya 2.75 law sasa kutokana na comptn na mkanganyiko uliopppo had sasa majina hayajatoka nacte bat ud.juco.tumain.sijaona jina langu sina Aman kabisaa.pia kwe profile yangu Niko safe sijaambiwa nireset kuna ujumbe tu kuwa congltn for succefull complitn online admssn into bach degree.....at any time you can modfy your before 16.10 tatzo langu kaka je possibo ya kupata chuo IPO had sasa? Mana sielew chochote had sassa plz naomba ufafanuz kwa hilo kaka samahan kwa usumbufu tafadhali..mziray
 
Back
Top Bottom