toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,612
- 4,720
Wakuu mwenzenu nikiingia aliexpress nikitaka kununua kitu kwenye payment method sioni paypal naona tu wananiambia niingize namba ya kadi yangu ya benk.
Mara wananiletea alipay halafu wananiletea namba ya kadi plsss nisaidieni nifanyeje.
Nataka kutumia paypal. Tatizo langu jingine ni kule ebay jamani nikiagiza bidhaa kwenye comfirm pale kujaza zile taarifa country wanaleta USA sasa inamaana mzigo unaandika post to US
msaada plzzzz
Mara wananiletea alipay halafu wananiletea namba ya kadi plsss nisaidieni nifanyeje.
Nataka kutumia paypal. Tatizo langu jingine ni kule ebay jamani nikiagiza bidhaa kwenye comfirm pale kujaza zile taarifa country wanaleta USA sasa inamaana mzigo unaandika post to US
msaada plzzzz