Bado transfer window inamalizika Tarehe 6/12/2019 nenda vyuo vingine DarSalam wana jamvi, wa thread ya elimu.
Going straight to the point, mmi ni first year nasoma BEE Bachelor of Electrical and Electronics, lakini shida ni kwamba naona kama mambo hayaendi kwani kiukweli lecturers wetu kufundisha ni mzozo.
Na sina guidelines zozote za vitabu vya Electrical zaidi ya vitabu vya Linear Electronics, Electrical technology na Hughes lakini shda ni kwamba yaani naona naenda enda tu.
Naomba ushauri faculty ninaipenda.
Kuna dogo anasoma st Joseph hiyo kozi na walipunguza tuition fee hata hostel wanapata bure.Da Asante ila nnaona Kama itakuwa somehow costful in terms of money and time. Ntajtahd lakini
Tafuta wadau wa vyuo tofauti mnaoshea course, pia jaribu kuperuzi open university kama wana hiyo course jamaa wanakuwaga na vitabu vizuriSalam wana jamvi, wa thread ya elimu.
Going straight to the point, mmi ni first year nasoma BEE Bachelor of Electrical and Electronics, lakini shida ni kwamba naona kama mambo hayaendi kwani kiukweli lecturers wetu kufundisha ni mzozo.
Na sina guidelines zozote za vitabu vya Electrical zaidi ya vitabu vya Linear Electronics, Electrical technology na Hughes lakini shda ni kwamba yaani naona naenda enda tu.
Naomba ushauri faculty ninaipenda.
mbona unasoma vyuo vya ajabu ajabu mjukuu wangu? ulipata three ya point ngap? mimi babu yako nilikuwa kipanga sana nilipokuwa kama weweSawa ๐๏ธ๐๏ธ๐๏ธ๐๏ธ
Da Asante ila nnaona Kama itakuwa somehow costful in terms of money and time. Ntajtahd lakini