Ian_
Member
- Dec 1, 2019
- 7
- 6
Salam wana jamvi, wa thread ya elimu.
Going straight to the point, mmi ni first year nasoma BEE Bachelor of Electrical and Electronics, lakini shida ni kwamba naona kama mambo hayaendi kwani kiukweli lecturers wetu kufundisha ni mzozo.
Na sina guidelines zozote za vitabu vya Electrical zaidi ya vitabu vya Linear Electronics, Electrical technology na Hughes lakini shda ni kwamba yaani naona naenda enda tu.
Naomba ushauri faculty ninaipenda.
Going straight to the point, mmi ni first year nasoma BEE Bachelor of Electrical and Electronics, lakini shida ni kwamba naona kama mambo hayaendi kwani kiukweli lecturers wetu kufundisha ni mzozo.
Na sina guidelines zozote za vitabu vya Electrical zaidi ya vitabu vya Linear Electronics, Electrical technology na Hughes lakini shda ni kwamba yaani naona naenda enda tu.
Naomba ushauri faculty ninaipenda.