Msaada wa haraka internet conection ktk galaxy s4

Ilisolokobwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
1,863
Reaction score
830
Jana nimepokea simu yangu galaxy s4 i9500,tatizo kubwa tangu hiyo jana asubuhi nimecheza nayo hadi sasa nimechemka.sijafanikiwa kuunga intenet.nahitaji msaada wenu tafadhali
 
Galaxy s4 clone?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
kwan hujui unaweza ukatoa hata milion na ukauziwa clone

cha msingi kama hujui kitu nyamaza kimya.kwanza tatizo limetatuliwa na mtaalam mwl rct hapa nakula goodtime na s4 kweli najuta kukaa na tecno muda mrefu.s4 ni zaidi ya simu
 
cha msingi kama hujui kitu nyamaza kimya.kwanza tatizo limetatuliwa na mtaalam mwl rct hapa nakula goodtime na s4 kweli najuta kukaa na tecno muda mrefu.s4 ni zaidi ya simu

Unaonekana ndo kwanza umeingia mjini, jinsi unavyosound.
Sasa fanya hivi, kua makini usije ibiwa.
Enjoy
 
acha akili za kitoto ww ndo mara ya kwanza kutumia smartphone nn? Unaonekana ukiibiwa iyo simu utalia sana

hahaha kaka nina miaka 2 kaka tangu nimiliki smartphone ingawa zilikuwa tecno,achana na samsung weee onja uone utamu
 
mimi nashangaa humu nimeomba msaada nimeambulia matusi.inakuwaje hapa?
 
unajua lolote khs air gesture????? hem jaribu utupe matokeo na s4 yako
 
unajua lolote khs air gesture????? hem jaribu utupe matokeo na s4 yako

mkuu air gesture ni pale unapopitisha mkono juu ya kioo cha simu yako pasipo kugusa mfano wakati unatazama picha si lazima uguse kioo cha simu n k.umenipata?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…