Mohamedmteleke
Senior Member
- Mar 21, 2019
- 137
- 172
Nawapa kazi nyie mnakuja kuomba madesa mtandaoni. Mimi kama supervisor wako nimecopy hiyo number kwa mawasiliano zaidi. Utafurahia tu hiyo showNaombeni msaada.....nasoma chuo X hapa tz , Ni finalist na nnatakiwa kufanya final year project ili niwe awarded degree ya computer science....
Changamoto ipo hivi , tulipebdekeza project title nyingi Sana na baadae moja ikapita,
Title ilikuwa chronic desease management information systems (CDMIS).
Lengo Ni ku keep record za Hawa watu, na system ilipangwa kuwa na 5 users dactari,system administrator, madijala, pharmacist,na mgonjwa mwenyew.... Tulipanga kuintergrate na sms ili mgonjwa awe anapata sms za kumjumbusha mda wa kunywa sawa, kuhudhulia clinic na kubeba dawa na kadhalika , mgonjwa atakuwa na ID namba itayomtambulisha popote , na akienda hospital atataja namba na atapata huduma, baada ya kuhudumiwa dactar ataongeza taarifa za mgonjwa na atasevu tareh na Nini kamhudumia kwa siku hiyo, na Kama mgonjwa ataenda kutibiwa na hospital nyingine atataja namba tu na dactar anaweza Ina taarifa za mgonjwa na background ya kimatibabu,
System administrator anasajili madactar na wahudumu wengine katika system, dactar Ni mtu wa huduma tu na kuongeza vitu ambavo mgonjwa kahudumiwa katika siku husika, madijala anasajili wagonjwa , pharmacist Ni mtu wa madawa na anagawa dawa kutokana na maagizo ya dactar,
Gap...
Kuna GOTHOMIS ambayo inaoperate in a local area na single hospital na Ni too general sis tumespecify...huko mgonjwa atasajili upya Kila hospital...
Katika mfumo wetu tunaangazia kuwa na shared database katika hospital zote , means that the system is distributed although it doesn't have all characteristics....system hii tulitoa maelezo mengi Zaid ya haya katika ku defend title na ikapita....then tukapewa supervisor wetu kwaajili ya kutuongoza
Supervisor akasema haielew title hivo tutafte title nyingine...alipoulizwa how will you make your system distributed tulimjibu kwamba cloud computing Ina service tatu ambazo Ni infrastructure as a service,platform as a service na software as a service.,..sis tutahost system yetu katika cloud severs Kama digital ocean na nyinginezo kwa ajili ya presentation na demonstration...na kwakuwa huko Kuna network of servers our system will be distributed...ticha kaikataa kasema totengeneze distributed system kwa gharama zetu wenyew ,na tuwe na server Zaid ya moja na to show how data are synchronized, kwa gharama za hii idea yake sisi hatuwez Ni Bora wabaki tu na degree yangu, tukamuuliza tufanyaje ili iwe unavotaka ,na tupite njia zipi kasema hajui hata yeye,....ukumbuke supervisor Ni mtu wa kutuelekeza na sio kukomoa Kwan nae anacredit tukifanikiwa hapa, ...akasema kuwa distributed kwa kuihost tu cloud hautoshi kutupa degree hivo tutafte complex system Zaid ya hii...kasema ni very simple ila hajui tumeumizwa kichwa kias gan mbaka imekuwa nyepes hivi kwa maelezo,...ko katukataa na tukiomba kubadilishiwa supervisor ttaonekana niyeyusho na ttakuwa tmejipalia Moto ,Kila title tunayompelekea anakataa na Sasa tunakaribia proposal presentation ili tupate go ahead ya kufanya project....akili umechoka Sana na Sina title nyingine....
Huenda ticha Hana lengo baya ila nimekwama hapo wakuu...yeyote mwenye idea msaada mwenye title kali ya system anisaidie namba yangu Ni 0656513904.....naombeni msaada wa hii kitu wanajamvi degree naikosa na nmepambana Sana had hapa....wahadha salaa
Haina noma mkuu....Nawapa kazi nyie mnakuja kuomba madesa mtandaoni. Mimi kama supervisor wako nimecopy hiyo number kwa mawasiliano zaidi. Utafurahia tu hiyo show
Nnaifutaje, sion optionMzee hiyo namba kama ni ya kwako supavaiza atakufa na wewe, futa tu namba hiyo utaumia ndugu yangu elimu ya bongo ni ........
Any project title if u havUmeandika malalamiko mengi sana ambayo hayana msingi. Edit uandike unachohitaji kusaidiwa. Kutafuta sympathy hakusaidii.
Eleza unekwama wapi na Unahitaji msaada gani. Watu serious hawana muda wa kusoma gazeti la malalamiko mpaka mwisho.
Hope hii itakusaidia
I don't have any for sure. Check problems around us. They all give project title.Any project title if u hav
Hivi kwanini degree za computer/IT project zao huwa ni kutengeneza systems? Mara system ya maktaba mara ya hospitali hivi hamna tittle inayo tatua matatizo ya wananchi?Naombeni msaada.....nasoma chuo X hapa tz , Ni finalist na nnatakiwa kufanya final year project ili niwe awarded degree ya computer science....
Changamoto ipo hivi , tulipebdekeza project title nyingi Sana na baadae moja ikapita,
Title ilikuwa chronic desease management information systems (CDMIS).
Lengo Ni ku keep record za Hawa watu, na system ilipangwa kuwa na 5 users dactari,system administrator, madijala, pharmacist,na mgonjwa mwenyew.... Tulipanga kuintergrate na sms ili mgonjwa awe anapata sms za kumjumbusha mda wa kunywa sawa, kuhudhulia clinic na kubeba dawa na kadhalika , mgonjwa atakuwa na ID namba itayomtambulisha popote , na akienda hospital atataja namba na atapata huduma, baada ya kuhudumiwa dactar ataongeza taarifa za mgonjwa na atasevu tareh na Nini kamhudumia kwa siku hiyo, na Kama mgonjwa ataenda kutibiwa na hospital nyingine atataja namba tu na dactar anaweza Ina taarifa za mgonjwa na background ya kimatibabu,
System administrator anasajili madactar na wahudumu wengine katika system, dactar Ni mtu wa huduma tu na kuongeza vitu ambavo mgonjwa kahudumiwa katika siku husika, madijala anasajili wagonjwa , pharmacist Ni mtu wa madawa na anagawa dawa kutokana na maagizo ya dactar,
Gap...
Kuna GOTHOMIS ambayo inaoperate in a local area na single hospital na Ni too general sis tumespecify...huko mgonjwa atasajili upya Kila hospital...
Katika mfumo wetu tunaangazia kuwa na shared database katika hospital zote , means that the system is distributed although it doesn't have all characteristics....system hii tulitoa maelezo mengi Zaid ya haya katika ku defend title na ikapita....then tukapewa supervisor wetu kwaajili ya kutuongoza
Supervisor akasema haielew title hivo tutafte title nyingine...alipoulizwa how will you make your system distributed tulimjibu kwamba cloud computing Ina service tatu ambazo Ni infrastructure as a service,platform as a service na software as a service.,..sis tutahost system yetu katika cloud severs Kama digital ocean na nyinginezo kwa ajili ya presentation na demonstration...na kwakuwa huko Kuna network of servers our system will be distributed...ticha kaikataa kasema totengeneze distributed system kwa gharama zetu wenyew ,na tuwe na server Zaid ya moja na to show how data are synchronized, kwa gharama za hii idea yake sisi hatuwez Ni Bora wabaki tu na degree yangu, tukamuuliza tufanyaje ili iwe unavotaka ,na tupite njia zipi kasema hajui hata yeye,....ukumbuke supervisor Ni mtu wa kutuelekeza na sio kukomoa Kwan nae anacredit tukifanikiwa hapa, ...akasema kuwa distributed kwa kuihost tu cloud hautoshi kutupa degree hivo tutafte complex system Zaid ya hii...kasema ni very simple ila hajui tumeumizwa kichwa kias gan mbaka imekuwa nyepes hivi kwa maelezo,...ko katukataa na tukiomba kubadilishiwa supervisor ttaonekana niyeyusho na ttakuwa tmejipalia Moto ,Kila title tunayompelekea anakataa na Sasa tunakaribia proposal presentation ili tupate go ahead ya kufanya project....akili umechoka Sana na Sina title nyingine....
Huenda ticha Hana lengo baya ila nimekwama hapo wakuu...yeyote mwenye idea msaada mwenye title kali ya system anisaidie namba yangu Ni....naombeni msaada wa hii kitu wanajamvi degree naikosa na nmepambana Sana had hapa....wahadha salaa
Ww umesomea Nini....?..Hivi kwanini degree za computer/IT project zao huwa ni kutengeneza systems? Mara system ya maktaba mara ya hospitali hivi hamna tittle inayo tatua matatizo ya wananchi?
Nnasema hivi maana hata chuoni kwetu miaka hiyo kila mtu alikua anawaza kutengeneza system tena kwa kutumia PHP! Mbaya zaidi wanakopi systems zilizo tengenezwa miaka ya nyuma!
Mnakwama wapi nyie watu? Tofauti na hizo systems hamuwezi waza kitu kingine? Au nduo tuseme creativity=0?
Pia hata hyo php usiichukulie kizembe, php Ni Kuna watu wamespecialize hapo na wanatafutwa Ile mbaya, watu tunaijua flutter , pia kwanini uteseke kujenga interface akat framework zipo, Kila kitu kipo simple ila haimaanishi watu hawamjui....ishu ipo kwenye logic na hapo ndipo tutamtaka mtu wa php ambayo ww unaichukulia Michele Michele , php kuimaliza yote Ni kipengere na Kuna Masters in php au hujui Hilo....ila kwa kuwa php Ni kubwa huwa tunasoma php kidogo tu kwa ajili ya scope za matumizi yetu, utamaliza Java yote na si php , af php Ni muhim kuzitumia japo Kuna language mpya ya dart inakila kitu ,bro watu wapo na wanajua vitu usibeze taaluma ya mtu.Hivi kwanini degree za computer/IT project zao huwa ni kutengeneza systems? Mara system ya maktaba mara ya hospitali hivi hamna tittle inayo tatua matatizo ya wananchi?
Nnasema hivi maana hata chuoni kwetu miaka hiyo kila mtu alikua anawaza kutengeneza system tena kwa kutumia PHP! Mbaya zaidi wanakopi systems zilizo tengenezwa miaka ya nyuma!
Mnakwama wapi nyie watu? Tofauti na hizo systems hamuwezi waza kitu kingine? Au nduo tuseme creativity=0?
Edit thread yako ondoa hiyo nambaNnaifutaje, sion option
Nawapa kazi nyie mnakuja kuomba madesa mtandaoni. Mimi kama supervisor wako nimecopy hiyo number kwa mawasiliano zaidi. Utafurahia tu hiyo show
Huyo unayebishana naye ni mtaalamu wa hizo kompyuta sijui IT kukuzidi wewe tena mbali sana, unakuwaje JF na hujui watu wa kada yakoWw umesomea Nini....?..
System hazitatui matatizo?
Hazirahisishi kazi ?
Ulimwengu Ni wa data quality huu Kaka, every thing is data, every management system simplify a certain problem?
May be what's system?
Automatic irigation system.
Water control system
Trafic control system
Temperature and fire control system
Electric control system
....hizo Ni baadhi tu ya system ambazo watu wanazifanya ili kupata degree zao, Mambo yanafanyika mkuu ,.... creativity zipo na Kuna Gap lazma iwe nalo unapodefend title....pia mtu anaweza akawa anasoma computer science na hakuna course hata moja ya electronics anayo Soma, mbali na hvo watu wanajitahid kupambana na wanatengeneza system ....nadhan kabla ya kuponda kuwa Ni zero creativity inatakiwa uwe unahudhuria ICT days za vyuo na shule ili uone vilivyopo, utashangaa ....na tnavozungumzia hvo namaansha sis tuna andaa model na kudemonstrate how it will work ....Kama ambavo Kuna research nzito na zote zimepigwa kapuni hvo hvo Kuna project nzito na zote zimepigwa kapuni yaan haziingii kazini kwasabab watu hawahitaj kuzitumia.....unaifaham Nara?, Hyo Ni payment system na mtu kashapiga pay , jamii forum Ni system na melo anatengeneza chakula , ila unemuona masud na gari lake hajapata hata attention ya watu na serikali, mkuu watu wapo,Wana idea kali na zinapiga Kaz POA ila zimeishia kwenye maonyesho na store za vyuo
Sio Kila kitu kuponda mkuu system Ni Kila kitu kuliko gadgets....even mechanical can be gadget , computer science is all about codes, automation, networking,
Tanzania tunahitaj information systems, management systems , ...kiufupi tangu naanza chuo mbaka na maliza Wana wanakila kitu ambacho wew unahs sisi tunambwela...Kila kitu Kuna watu wanapiga pini na kukatisha tamaa...
Mfano ofisi X hapa iringa Tena inategemewa Sana tu imeajili IT Hana hata certificate, ila tukienda field pale tunakuta computer si chini ya hamsini zimezingua ,hakai ofisini , anauza computer zilizoroga kidogo tu kwa mafungu....mfano juz Kat kauza desktop 7 kwa laki tano Kama scrape, ila utaambiwa huyo anajua vitu kuliko mliosoma....bro haya Mambo yaache Kama yalivo ,usituite zero brain computer science sio IT. Ni kitu ingine kabsa af bongo tunahtaji systems Zaid kuliko hizo gadget ...Kama unabisha nitajie tatzo ambako halihitaj systems na a ni kutajie Kama hyo project haijafanyika chuoni kwetu, watu wanajua vitu wamefanya vitu ,ila wanatemwa Kila sehem ,
Wahadha salam
Sasa Kama mtaalam anashindwaje kujua kuwa management systems kwa nchi yetu Ni Bora kuliko gadgets na nyinginezo,...anashindwaje kujua kuwa anavyovitaka yeye vipo ila vinapigwa chini, hamuoni kipanyaHuyo unayebishana naye ni mtaalamu wa hizo kompyuta sijui IT kukuzidi wewe tena mbali sana, unakuwaje JF na hujui watu wa kada yako
Mkuu title tulipresent na ikapita , supervisor ndo kaikataa now so katurudisha nyuma hatua Mia,...pia sisi tnamaliza August 20 kwakuwa tulikuwa na Deni la field study ambayo ilitakiwa ifanywe akati tupo first year Corona ikaingiliaAlafu inakuaje mpaka sasa huna project tittle na chuo tunamaliza July? Wengine tushaenda panel kufanya presentation wewe hata tittle huna. Sijui unafanyaje project kwa mwezi mmoja iwe na ufanisi
Nilipokuwa chuo X hapo. Wanafunzi wenzangu wengi walikuwa katika njia moja kama hii uliyochukua. Kulikuwa na system mbili nadhani za kusimamia taarifa za daktari na mgonjwa nakumbuka, kulikuwa na system za kufanya management za wanafunzi mashuleni, na kiujumla kulikuwa na management systems everywhere.
Katika kutafuta Final Year Projects binafsi haikuwa ngumu kabisa. Kwanza nilitazama vitu ninavyopenda,
1. ninapenda technology
2. ninapenda design na animation
3. ninapenda project zinazolenga watoto.
Nilianzia hapo, nikaangalia mambo yanayonizunguka katika maeneo yanayonivutia na nikaona tatizo kubwa sana katika elimu ya watoto, hasa primary. Tulianza kufanya research mwanzoni za matatizo na niliona shocking statistics za wanafunzi wa primary. Almost 50% wanafeli, almost 40% madarasa ya chini (la 4, 5, 6, 7) hawawezi kufanya hesabu za darasa la pili au kusoma hadithi za darasa la pili. Na nilikua genuinly shocked na some of the statistics na nikajua moja kwa moja nitajikita huko.
Baada ya kufikiria kidogo niliona tatizo ni kubwa na nikajikita katika somo la hisabati kwa kuanzia. Na nikaamua kufanya simple math games kwa watoto. Wanafunzi wenzangu kama nilivyokwambia, management systems zilikua nyingi sana, na nilipata hofu kidogo kama hili wazo lingekubalika ila long story short nilipewa tuzo ya project bora ya pili chuoni hapo na prototype ilifanikiwa kuonekana sabasaba pia.
Mpaka leo sehemu ya hobby yangu ni kufanya project zinazolenga eneo hilo maana hakuna kabisa solution za kutosha.
Kwa hiyo nakushauri, angalia beyond just the project title, angalia beyond just having a system. Na hopefully kwa experience yangu hii labda kuna idea unaweza kupata. Good luck