Natafuta English course manake siku si nyingi nina intavyuu, itarushwa laiv kwenye media coz ni kitengo nyeti, panel itakua na idadi ya watu kama MPs. Niokoeni ili nisije nikajitemesha tonge kama yule mwanaCUF damdam aliyekataa tonge la EALA hadharani mchana kweupee huku wanae na wajukuu wakimshuhudia. "I am a..political degree and, and, and...."lol.. Nisaidieni wana chitchat..