Msaada wa dawa ya ugonjwa wa Arthritis

Hizi kuna jamaa yangu alinitumia kutoka nje, nadhani vinaweza kupatikana kwenye pharmacy kubwakubwa hapa kwetu.

NB: USITHUBUTU KUTUMIA DAWA KIHOLELA BILA KUMCONSULT DAKTARI KWANZA (ili aangalie severity ya ugonjwa, issue za alergies, side effects au mgongano wa dawa kwenye magonjwa mengine kama mgonjwa anayo)View attachment 1599135View attachment 1599134
Sawa Asante nitaulizia pharmacy kubwa nione Kama nitapata. Huwa ana presha na sukari pia nitaulizia Kama hazina shida kwake.
 
Sawa Asante nitaulizia pharmacy kubwa nione Kama nitapata. Huwa ana presha na sukari pia nitaulizia Kama hazina shida kwake.
Usimnunulie tu dawa kisa tumekushauri humu ni hatari sana ndugu.. HAKIKISHA UNAPATA NASAHA NA RUKSA YA DAKTARI KWANZA.
*Tafuta haematologist akupe ushauri au specialist wa mifupa
 
Dah duniani kumbe kuna magonjwa mengi sana ya hatari.
Kwa hiyo mkuu inamaanisha aliyepata ugonjwa huu anakuwa ni mtu wa kutumia dawa katika kipindi cha maisha yake yote?
habari ndugu ,jamani Hilo gojwa no kubwa mno.mimi ninalo naandika hapa huku nalia.maumivu yake ni ya viwango vya juu.tena hayaelezeki.nikinywa diclofenac asubuhi na jioni na predisolone ndo napata nafuu.mi sio mzoefu hapa Ila imenigusa
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom