Msaada wa dawa ya kuua popo.

Msaada wa dawa ya kuua popo.

Kama wako darini, panga mchakato huu ufanyike mchana kweupe kama saa sita au tisa mchana:

Fumua bati moja kisha panda darini na fimbo, piga sana popo wote hadi uhakikishe wote wametoka. Rudia zoezi hilo kwa siku tatu majira yale yale....

Popo hawatarudi tena hapo, watapoteana na kulazimika kuanzisha chama upya katika viwanja vingine....Kila lakheri!.
 
hilo ni tatizo dogo sana, ongea na wazzee wakusaidie ………………………!
 
Yani analiwasha tu alfajiri tu wanapokuwa ndio wamerudi baada ya misele yao ya usiku kucha😅 watalia kichizi ila itakuwa haina namna lazma waachie bodi!

Kipindi niko chuo kulikuwa na mti wanaupenda wanajazana hapo na kunyea vimbweta wale wasimamizi wa mazingira wakawa wanawafurusha kwa kufanya hivyo.
ni kwel mkuu, ht mim niliona hukohuko chuo, cha moshi huko
 
Kama wako darini, panga mchakato huu ufanyike mchana kweupe kama saa sita au tisa mchana:

Fumua bati moja kisha panda darini na fimbo, piga sana popo wote hadi uhakikishe wote wametoka. Rudia zoezi hilo kwa siku tatu majira yale yale....

Popo hawatarudi tena hapo, watapoteana na kulazimika kuanzisha chama upya katika viwanja vingine....Kila lakheri!.
Hayo mazoezi labda awamwagi maji moto kwenye sprayer kama la kupiga dawa shambani lile
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom