Msaada wa dawa ya kuua popo.

Msaada wa dawa ya kuua popo.

Joined
Sep 4, 2016
Posts
62
Reaction score
42
Habari, nimekuwa nikisumbuliwa na popo kwa muda mrefu mpaka wananiharibia mabati na ukuta. Naomba anaefahamu sawa ya kuwauwa kabisa wapotee anisaidie maana wamekuwa kero.
 
Habari, nimekuwa nikisumbuliwa na popo kwa muda mrefu mpaka wananiharibia mabati na ukuta. Naomba anaefahamu sawa ya kuwauwa kabisa wapotee anisaidie maana wamekuwa kero.
✓Miti ya miaridari wanapenda sana kwa ajiri ya kula vile vitunda vidogo vidogo
 
Kwanini uwaue wanyama hao jamii ya ndege

Mwanadam bwana anajiona anamlaka zaidi ktk ulimwengu huu

Ova
 
kbs akipata tairi la scania itapendeza
Yani analiwasha tu alfajiri tu wanapokuwa ndio wamerudi baada ya misele yao ya usiku kucha😅 watalia kichizi ila itakuwa haina namna lazma waachie bodi!

Kipindi niko chuo kulikuwa na mti wanaupenda wanajazana hapo na kunyea vimbweta wale wasimamizi wa mazingira wakawa wanawafurusha kwa kufanya hivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom