Kwanza, pole sana kwa changamoto hiyo.
Unachopaswa kufanya, ikamue usaha utoke. Kisha ukichunguza vizuri kuna unywele umeoteana pale panapotoa usaha.
Uvute huo unywele, hakikisha kabisa umetoka. Kisha kamua tena. Kutavimba kidogo lakini kesho yake panakuwa vema. Then relax, kazi imeisha. Unaweza kuamua kunyoa sehemu zako kwa ratiba yako mwenyewe.
Achana na hao wanaokukejeli kwamba una vuzi jingi. Ni vuzi la kawaida kabisa. Isitoshe ungenyoa ndiyo uje basi uwezo wa kuvuta huo unywele ulioteana usingekuwa nao.